Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna uhusiano gani ya viroba kufungiwa na mikutano ya chadema hasa Arusha kupoteza mvuto?Yeye Mwenyewe hana hela?
Ni Dr wa kitu gani? Hospitalini au PhD kama ya Musukuma Kasheku?Wananchi wa Ileje kutoka Ikinga, Isongole, Ngulilo, Ndola, Luswisi na Itale kwa pamoja wameonyesha uzalendo wao kwa kumchangia gharama za kuchukua fomu ya ubunge. Msomi Dr Ntimi Mtawa ili agombee nafasi ya ubunge katika uchaguzi mkuu ujao wa 2025. Ikumbukwe mwaka 2020 kijana huyu msomi alijaribu kuomyesha mia yake lakini kura za wajumbe hazikutimia. Naiona Ileje mpya 2025-2030.
#Hakika Wana-Ileje haya si mapenzi bali ni mahaba kwa Mheshimiwa Dr Mtawa, Mbunge Mtarajiwa.
Ileje ina hazina ya wasomiDr karibu nyumbani
OkayWana Ileje shime tumuunge mkono Mheshimiwa Mbunge (Mteule) Dr Mtawa. Msomi na mwenyeji wa Wilaya hii
OkayWananchi wa Ileje kutoka Ikinga, Isongole, Ngulilo, Ndola, Luswisi na Itale kwa pamoja wameonyesha uzalendo wao kwa kumchangia gharama za kuchukua fomu ya ubunge. Msomi Dr Ntimi Mtawa ili agombee nafasi ya ubunge katika uchaguzi mkuu ujao wa 2025. Ikumbukwe mwaka 2020 kijana huyu msomi alijaribu kuomyesha mia yake lakini kura za wajumbe hazikutimia. Naiona Ileje mpya 2025-2030.
#Hakika Wana-Ileje haya si mapenzi bali ni mahaba kwa Mheshimiwa Dr Mtawa, Mbunge Mtarajiwa.
Haya maigizo Dr.Nchimbi hayatakiWananchi wa Ileje kutoka Ikinga, Isongole, Ngulilo, Ndola, Luswisi na Itale kwa pamoja wameonyesha uzalendo wao kwa kumchangia gharama za kuchukua fomu ya ubunge. Msomi Dr Ntimi Mtawa ili agombee nafasi ya ubunge katika uchaguzi mkuu ujao wa 2025. Ikumbukwe mwaka 2020 kijana huyu msomi alijaribu kuomyesha mia yake lakini kura za wajumbe hazikutimia. Naiona Ileje mpya 2025-2030.
#Hakika Wana-Ileje haya si mapenzi bali ni mahaba kwa Mheshimiwa Dr Mtawa, Mbunge Mtarajiwa.
Yeye mbona katunukiwa mezani?Haya maigizo Dr.Nchimbi hayataki
Yeye ndo kashika rungu ndugu yanguYeye mbona katunukiwa mezani?
Huyu watakula kichwaWananchi wa Ileje kutoka Ikinga, Isongole, Ngulilo, Ndola, Luswisi na Itale kwa pamoja wameonyesha uzalendo wao kwa kumchangia gharama za kuchukua fomu ya ubunge. Msomi Dr Ntimi Mtawa ili agombee nafasi ya ubunge katika uchaguzi mkuu ujao wa 2025. Ikumbukwe mwaka 2020 kijana huyu msomi alijaribu kuomyesha mia yake lakini kura za wajumbe hazikutimia. Naiona Ileje mpya 2025-2030.
#Hakika Wana-Ileje haya si mapenzi bali ni mahaba kwa Mheshimiwa Dr Mtawa, Mbunge Mtarajiwa.