Pre GE2025 Ileje wamchangia Dr Ntimi Mtawa gharama za kuchukua fomu 2025

Pre GE2025 Ileje wamchangia Dr Ntimi Mtawa gharama za kuchukua fomu 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wananchi wa Ileje kutoka Ikinga, Isongole, Ngulilo, Ndola, Luswisi na Itale kwa pamoja wameonyesha uzalendo wao kwa kumchangia gharama za kuchukua fomu ya ubunge. Msomi Dr Ntimi Mtawa ili agombee nafasi ya ubunge katika uchaguzi mkuu ujao wa 2025. Ikumbukwe mwaka 2020 kijana huyu msomi alijaribu kuomyesha mia yake lakini kura za wajumbe hazikutimia. Naiona Ileje mpya 2025-2030.

#Hakika Wana-Ileje haya si mapenzi bali ni mahaba kwa Mheshimiwa Dr Mtawa, Mbunge Mtarajiwa.
Ni Dr wa kitu gani? Hospitalini au PhD kama ya Musukuma Kasheku?
 
Huyu chawa ana maslahi binafsi na huyo mtu wake

Twambie ameona mapungufu gani kwenye jimbo husika, nini anapanga kufanya na atatumia njia gani tofauti na zilizozoeleka kuleta changes na kwa nini yeye na sio mtu mwingine?

Au anagombea kwa maslahi mapana ya tumbo lake?. Ifike Wakati kuwe na sheria ngumu hadi watu waziogope hizi nafasi!
 
Wananchi wa Ileje kutoka Ikinga, Isongole, Ngulilo, Ndola, Luswisi na Itale kwa pamoja wameonyesha uzalendo wao kwa kumchangia gharama za kuchukua fomu ya ubunge. Msomi Dr Ntimi Mtawa ili agombee nafasi ya ubunge katika uchaguzi mkuu ujao wa 2025. Ikumbukwe mwaka 2020 kijana huyu msomi alijaribu kuomyesha mia yake lakini kura za wajumbe hazikutimia. Naiona Ileje mpya 2025-2030.

#Hakika Wana-Ileje haya si mapenzi bali ni mahaba kwa Mheshimiwa Dr Mtawa, Mbunge Mtarajiwa.
Okay
 
Wananchi wa Ileje kutoka Ikinga, Isongole, Ngulilo, Ndola, Luswisi na Itale kwa pamoja wameonyesha uzalendo wao kwa kumchangia gharama za kuchukua fomu ya ubunge. Msomi Dr Ntimi Mtawa ili agombee nafasi ya ubunge katika uchaguzi mkuu ujao wa 2025. Ikumbukwe mwaka 2020 kijana huyu msomi alijaribu kuomyesha mia yake lakini kura za wajumbe hazikutimia. Naiona Ileje mpya 2025-2030.

#Hakika Wana-Ileje haya si mapenzi bali ni mahaba kwa Mheshimiwa Dr Mtawa, Mbunge Mtarajiwa.
Haya maigizo Dr.Nchimbi hayataki
 
Wananchi wa Ileje kutoka Ikinga, Isongole, Ngulilo, Ndola, Luswisi na Itale kwa pamoja wameonyesha uzalendo wao kwa kumchangia gharama za kuchukua fomu ya ubunge. Msomi Dr Ntimi Mtawa ili agombee nafasi ya ubunge katika uchaguzi mkuu ujao wa 2025. Ikumbukwe mwaka 2020 kijana huyu msomi alijaribu kuomyesha mia yake lakini kura za wajumbe hazikutimia. Naiona Ileje mpya 2025-2030.

#Hakika Wana-Ileje haya si mapenzi bali ni mahaba kwa Mheshimiwa Dr Mtawa, Mbunge Mtarajiwa.
Huyu watakula kichwa
 
Back
Top Bottom