Msijifanye mnajua nyie na kumbe mnaungua na jua!
Ukisema Ilemela unamaanisha pale ambapo panajulikana kwa jina hilo na sio kugeneralize!
Ni sawa na kusema niko KINONDONI kwa kumaanisha pale pale kino na sio Sinza au magomeni eti kwakuwa pia ziko wilaya ya KINONDONI au Jimbo la kinondoni!
Ukisema ILEMELA kwa kugeneralize na Rocky city mall, kona ya Bwiru, Kirumba na kadhalika lazima uanze na neno WILAYA AU JIMBO kabla hujatamka ILEMELA ili mtu atambue kuwa unaongelea wilaya nzima sio kusema Ilemela pekee kumbe unamaani wilaya!
Ndo maana mnafeli kwa vitu vya kipumbavu kabisa
Sent using
Jamii Forums mobile app