Pre GE2025 Ili CHADEMA kife, lazima kimchague Mbowe kuwa M/kiti, na ili kiongeze uhai na kukabiliana na uhuni wa CCM, lazima kimchague Lissu

Pre GE2025 Ili CHADEMA kife, lazima kimchague Mbowe kuwa M/kiti, na ili kiongeze uhai na kukabiliana na uhuni wa CCM, lazima kimchague Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Bulelaa

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
1,342
Reaction score
3,247
Wapenzi wa chadema na wapenda mabadiriko ya kweli na upinzani wa kweli popote pale walipo

Wanayo machaguo mawili tu kuhakikisha CHADEMA inabaki na pengine kushika dola na ama kufa kifo cha mende kama ilivyokuwa kwa vyama vingine vilivyowahi kuwika kabla ya Chadema na kisha kutoweka kama upepo

Ni kuchagua kifo cha chama chao ama uhai wa chama chao

Na ili Chadema kife, ni shariti Mbowe achaguliwe kuwa M/kiti

Na ili Chadema kiendelee na kuwa tishio kwa CCM, sharti kimchague Mh.Lissu kuwa Mwenyekiti

Mbowe anajua fika kwamba hana mbinu yoyote tena ya kukabiliana na ccm wenzake na kwamba awadanganye wanachadema eti yeye siyo ccm

Baada ya uchaguzi uzi huu mtaukumbuka

Kataa ccm kuokoa mama Tanzania
 
Wapenzi wa chadema na wapenda mabadiriko ya kweli na upinzani wa kweli popote pale walipo

Wanayo machaguo mawili tu kuhakikisha Chadema inabaki na pengine kushika dola na ama kufa kifo cha mende kama ilivyokuwa kwa vyama vingine vilivyowahi kuwika kabla ya Chadema na kisha kutoweka kama upepo

Ni kuchagua kifo cha chama chao ama uhai wa chama chao

Na ili Chadema kife, ni shariti Mbowe achaguliwe kuwa M/kiti

Na ili Chadema kiendelee na kuwa tishio kwa CCM, sharti kimchague Mh.Lissu kuwa Mwenyekiti

Baada ya uchaguzi uzi huu mtaukumbuka

Kataa ccm kuokoa mama Tanzania
Ukiangalia Kwa umakini sana mbowe anatumia na atatumia sana pesa Ili aweze kumshinda lisu ,ila akumbuke Kuna vyama vilikuwa na nguvu sana,Leo havina hata mbunge mmoja bungeni,Kwa upuuuzi huu huu wakujifanya vyama haviwezi ku exist bila wao ,sasa mwacheni mbowe ashinde ila anguko kubwa la chadema linafata.Pia timu mbowe watambue kuwa lisu angekuwa mwanasiasa Malaya Malaya kwenye utawala wa hayati magufuli angekuwa bilionea,lakini lisu alipambana mpaka wakaona wampoteze lakini wapi.kwahiyo timu mbowe wanatuaminisha kuwa mbowe akifa anakufa na chadema yake,maana hakuna mtu mwenye uwezo wakukiongoza chama.ni aibu na fedheha Kwa wanachama wa chadema.
 
Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa CCM (Taifa) ambaye pia ni Rais wa JMT Bi. Samia Suluhu Hassan...

Dr Wilbroad Slaa anasema, amepewa taarifa na vijana wake ndani ya Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) juu ya kikao kati Rais Samia/CCM na Freeman Mbowe kujadili namna atakavyosaidiwa kushinda uenyekiti...

Anaendelea kusema kuwa, Rais Samia amekubali kumuongezea pesa Freeman Mbowe ili kugharamia mikakati ya ushindi wake na kwa hiyo wajumbe wajiandae kula pesa za bure za Samia Suluhu Hassan...

Aidha ameitahadharisha kambi ya Tundu Lissu kufahamu kuwa, Freeman Mbowe atapata msaada toka TISS, polisi na UVCCM wengi wataingia kama wajumbe wapiga kura na watavalishwa magwanda au jezi rasmi za CHADEMA...

Je, wajumbe 1,200 watashindwa kufahamiana na kudhibitiana ndani ya ukumbi? Timu Tundu Lissu fahamuni hili, jiandaeni kwa mapambano. Fanyeni kama TLS walivyofanya kumpigani Boniface Mwabukusi na kuibuka mshindi wa u - Rais wa TLS...
 
CHADEMA ni mali ya familia, Mbowe hawezi kuwaachia.
Et nyooooo ccm lazima ltoke madarakani Kwa chama Gani chakukitoa ccm madarakani saccos ya mboye hiyo ambayo anang'ang'ania zaidi ya miaka ishirini awe mwenyekiti asubiri tu atakuwa anaalikwa ikulu na kina mzee cheyo,hashimu rungwe kwenda kupokea bahasha za chama tawala🤣🤣🤣🍷🍷
 
Wapenzi wa chadema na wapenda mabadiriko ya kweli na upinzani wa kweli popote pale walipo

Wanayo machaguo mawili tu kuhakikisha Chadema inabaki na pengine kushika dola na ama kufa kifo cha mende kama ilivyokuwa kwa vyama vingine vilivyowahi kuwika kabla ya Chadema na kisha kutoweka kama upepo

Ni kuchagua kifo cha chama chao ama uhai wa chama chao

Na ili Chadema kife, ni shariti Mbowe achaguliwe kuwa M/kiti

Na ili Chadema kiendelee na kuwa tishio kwa CCM, sharti kimchague Mh.Lissu kuwa Mwenyekiti

Mbowe anajua fika kwamba hana mbinu yoyote tena ya kukabiliana na ccm wenzake na kwamba awadanganye wanachadema eti yeye siyo ccm

Baada ya uchaguzi uzi huu mtaukumbuka

Kataa ccm kuokoa mama Tanzania
Lisu atafanya nini ambacho alizuiwa kukifanya tangu aingie Chadema. Juzi kwenye uchaguzi wa serikali a mitaa kwao amefanya nini ? si alikuwa huko? amefanya nini? yale yale ya Lyatonga Mrema......watu kama nyinyi mlimfuata na maneno yake kilichotokea ni NCCR kumeguka na TLP kufa
 
Wapenzi wa chadema na wapenda mabadiriko ya kweli na upinzani wa kweli popote pale walipo

Wanayo machaguo mawili tu kuhakikisha Chadema inabaki na pengine kushika dola na ama kufa kifo cha mende kama ilivyokuwa kwa vyama vingine vilivyowahi kuwika kabla ya Chadema na kisha kutoweka kama upepo

Ni kuchagua kifo cha chama chao ama uhai wa chama chao

Na ili Chadema kife, ni shariti Mbowe achaguliwe kuwa M/kiti

Na ili Chadema kiendelee na kuwa tishio kwa CCM, sharti kimchague Mh.Lissu kuwa Mwenyekiti

Mbowe anajua fika kwamba hana mbinu yoyote tena ya kukabiliana na ccm wenzake na kwamba awadanganye wanachadema eti yeye siyo ccm

Baada ya uchaguzi uzi huu mtaukumbuka

Kataa ccm kuokoa mama Tanzania
CHADEMA ikibaki na Mbowe ndiyo kitashamiri kuwa kuwa miaka zaidi ya 20 imebaki ikisimaama,. Je unafikiri mabadiliko ni Kwa sababu ya kumbadili m/ kiti? Kwa maoni yangu Chadema ina wazee wenye Hekima na ndiyo waamuzi kusimamia kura Kwa uwazi na ukweli.
 
Lisu atafanya nini ambacho alizuiwa kukifanya tangu aingie Chadema. Juzi kwenye uchaguzi wa serikali a mitaa kwao amefanya nini ? si alikuwa huko? amefanya nini? yale yale ya Lyatonga Mrema......watu kama nyinyi mlimfuata na maneno yake kilichotokea ni NCCR kumeguka na TLP kufa
2010 Mbowe alitembelea Nyota ya Dr Slaa na John Shibuda

2015 Mbowe alitembelea Nyota ya Lowassa

2020 hadi sasa Mbowe anatembelea Nyota ya Tundu Lisu

Happy New Year 😄
 
CHADEMA ikibaki na Mbowe ndiyo kitashamiri kuwa kuwa miaka zaidi ya 20 imebaki ikisimaama,. Je unafikiri mabadiliko ni Kwa sababu ya kumbadili m/ kiti? Kwa maoni yangu Chadema ina wazee wenye Hekima na ndiyo waamuzi kusimamia kura Kwa uwazi na ukweli.
Ni mhimu sana kujifunza kupitia upepo

Uoepo ndio unaotoa dira ya majira halisi na kutujulisha tupo kwenye wakati upi
 
CHADEMA ikibaki na Mbowe ndiyo kitashamiri kuwa kuwa miaka zaidi ya 20 imebaki ikisimaama,. Je unafikiri mabadiliko ni Kwa sababu ya kumbadili m/ kiti? Kwa maoni yangu Chadema ina wazee wenye Hekima na ndiyo waamuzi kusimamia kura Kwa uwazi na ukweli.
Abakinacho tu awe mwenyekiti wa maisha
 
Back
Top Bottom