Bando la wiki
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 911
- 3,017
Mwenendo mbovu wa timu ya Simba, sisi mashabiki ndio tunapata shida huku uraiani.
Wachezaji wa simba zaidi ya 50%, wamechoka wako nje ya form; kwa kifupi wanajivuta kama konokono wawapo uwanjani.
Wachezaji wengi hawana sifa ya kucheza simba ila kwa kuwa ndio waliopo inabidi kwenda nao hivyo hivyo.
Mfumo wa kuingia nao ni 4:3:3 ili kuwarazimisha washambuliaji wa Simba kuanza kukabia juu.
Kikosi cha kuanza ni;
1. Ayubu
2. Kapombe. 4. Che Malone. 5. Inonga 3. M. Hussein
7. Kanoute 6. Mzamiru 8. Ngoma
10. Miquson 9. Kibu D 11. Chama
Hicho ndicho kikosi ningekuwa kocha ningekianzisha dhidi ya mtani tarehe 20/4.
Saido na Barbacar Sarr sio wakuanza hiyo mechi maana ni wazito sana kwenye kufanya maamuzi ya haraka, changamoto hiyo pia anayo Fabrice Ngoma ila ndo hivyo tena hatuna kikosi kipana.
Hao viungo watatu (Mzamiru, Ngoma na Kanoute) lazima waanze wote na wacheze wote katika ili kupunguza risk ya mabeki wetu kifikiwa mara kwa mara.
Miquesson lazima aanze hiyo mechi kwa sababu yeye ni mwepesi kurudi nyuma (katikati) na kutengeneza nafasi za kufunga kwa mshambuliaji no. 9.
Kwa leo ni hayo tu.
Wachezaji wa simba zaidi ya 50%, wamechoka wako nje ya form; kwa kifupi wanajivuta kama konokono wawapo uwanjani.
Wachezaji wengi hawana sifa ya kucheza simba ila kwa kuwa ndio waliopo inabidi kwenda nao hivyo hivyo.
Mfumo wa kuingia nao ni 4:3:3 ili kuwarazimisha washambuliaji wa Simba kuanza kukabia juu.
Kikosi cha kuanza ni;
1. Ayubu
2. Kapombe. 4. Che Malone. 5. Inonga 3. M. Hussein
7. Kanoute 6. Mzamiru 8. Ngoma
10. Miquson 9. Kibu D 11. Chama
Hicho ndicho kikosi ningekuwa kocha ningekianzisha dhidi ya mtani tarehe 20/4.
Saido na Barbacar Sarr sio wakuanza hiyo mechi maana ni wazito sana kwenye kufanya maamuzi ya haraka, changamoto hiyo pia anayo Fabrice Ngoma ila ndo hivyo tena hatuna kikosi kipana.
Hao viungo watatu (Mzamiru, Ngoma na Kanoute) lazima waanze wote na wacheze wote katika ili kupunguza risk ya mabeki wetu kifikiwa mara kwa mara.
Miquesson lazima aanze hiyo mechi kwa sababu yeye ni mwepesi kurudi nyuma (katikati) na kutengeneza nafasi za kufunga kwa mshambuliaji no. 9.
Kwa leo ni hayo tu.