Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii serikali ya sasa tu ni ya umoja wa Kitaifa, CHADEMA waliamua kuacha kuhamasisha wananchi kusimamia utekelezaji wa maamuzi waliyoyafanya kwenye sanduku la kura mwaka 2010 na kuiacha serikali hii iendelee kuongoza japo uongozi wake ulipatikana kwa uchakachuaji wa matokeo ya urais wa hali ya juu kabisa.
Maamuzi haya yalifanyika kwa sababu CHADEMA na DR Slaa kwao utaifa uko mbele zaidi ya kitu kingine, sasa sielewi unataka serikali ya umoja wa kitaifa ya namna gani? au wewe umoja mpaka watu wagawane vyeo?
mbona mmeanza kujihami kwani umeona nini nyie ccm?
..."serikali ya umoja wa kitaifa" ndio kichaka mmejipanga kujifichia!?...kweli mmeishiwa mbinu!...
Machafuko kwasababu ya kuwa faidisha Slaa,Mbowe na JK? Wewe kweli huwajui watanzania.tunaona machafuko!
kwenye nchi yenye amani..
Liwalo na liwe
mawaziri wao ni Mdee,Wenje,Sugu,Nassari,Lema. Waziri mkuu Dj, hii itakua serikali au bongo movie?
CCM itatawala milele bana. Hawa wengine ni waganga njaa tu.
Ili kukwamisha hayo mauwaji ni bora sasa kuwashirikisha hata hiyo 2015 katika kuunda serikali..
Usipoikubali serikali ya umoja wa kitaifa ni dhahiri huitakii mema nchi yako..
Na unafurahishwa na wanayofanya CCM..kama ulivyoorodhesha hapo juu
watanzania ni kweli tunahitaji mabadiliko ya uongozi na ccm imeshapoteza dira na imani ya wananchi wengi......lakini watanzania si wendawazimu hatutakabidhi NCHI kwa genge hili tunahitaji watu smart.....sio blaah blah kutafuta umaarufu tu. tunahitaji watu wenye ababu na msimamo unao fahamika..sio bongo movie.mawaziri wao ni Mdee,Wenje,Sugu,Nassari,Lema. Waziri mkuu Dj, hii itakua serikali au bongo movie?
na ndiyo mustakabali wa amani yetu...
Mbona CCM ilifanya maandalizi ya serikali kama ya Kenya Tangu mwaka 2010 ,ili ikitokea Chama kingine kikachukua nchi masilahi ya mafisadi wa CCM yasiteteleke.Kwanini tuwe na mashaka na wasiwasi,
Ambao sisi wenye tunaweza kujiepusha nao?
Ni wakati muafaka sasa vyama vya siasa kujiandaa na serikali ya umoja wa kitaifa!
Ni muhimu sana, coz in both political parties kuna viongozi wazuri sana..
CCM tunaviongozi wazuri, mf. Mwakyembe, Sitta, Magufuli and alike! hawa hata kama upinzani utachukua nchi bado kuna haja ya kuwajumuisha katika muundo wa serikali
Wapinzani peke yao hawataweza kuunda serikali yenye mashiko..
Napigia debe serikali ya umoja wa kitaifa, kwa mustakabali wa amani ya Tanzania!!
cc,
majebere, Ritz, chama, HAMY-D
Mbona CCM ilifanya maandalizi ya serikali kama ya Kenya Tangu mwaka 2010 ,ili ikitokea Chama kingine kikachukua nchi masilahi ya mafisadi wa CCM yasiteteleke.
there U SEE MY POINT....