Kwani Serikali ya Umoja wa Kitaifa Kwani ndio dawa. Sikiliza mkutano wa Leo wa CCM Zanzibar utajuwa kuwa kuna jina tu la Serikali ya Umoja wa Kitaifa. Chadema ikishinda sio lazima iunde Serikali ya Umoja na madhalimu CCM maana viko vyama tele vya kuunda nao Serikali