Ili kuepusha vyombo vya Dola kujihusisha na Siasa Rais wa Nchi asiwe MwenyeKiti wa Chama cha Siasa

Ili kuepusha vyombo vya Dola kujihusisha na Siasa Rais wa Nchi asiwe MwenyeKiti wa Chama cha Siasa

mmaroroi

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2008
Posts
4,635
Reaction score
2,271
Ili vyombo vya Dola visiegemee kwa wanasiasa wakati wa utendaji wa majukumu yao, itungwe Sheria ya kuzuia Mtu anayeshinda kuwa Rais wa Nchi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Siasa.

Hii itaepusha hata kwenye matumizi ya mali ya umma kwenye Chama cha Siasa. Watunga Sheria na wasimamizi wa Sheria mliangalie hili lifanyiwe kazi hata kabla Katiba mpya haijaanzishwa. Naleta kwa msisitizo na utekelezaji wa mapema.
 
Ili vyombo vya Dola visiegemee kwa wanasiasa wakati wa utendaji wa majukumu yao, itungwe Sheria ya kuzuia Mtu anayeshinda kuwa Rais wa Nchi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Siasa.

Hii itaepusha hata kwenye matumizi ya mali ya umma kwenye Chama cha Siasa. Watunga Sheria na wasimamizi wa Sheria mliangalie hili lifanyiwe kazi hata kabla Katiba mpya haijaanzishwa. Naleta kwa msisitizo na utekelezaji wa mapema.
Mtazunguka sana mbuyu kujifanya hamjui shida

Mnadhani watu wanavyodai Katiba Mpya ni wajinga?
 
Ili vyombo vya Dola visiegemee kwa wanasiasa wakati wa utendaji wa majukumu yao, itungwe Sheria ya kuzuia Mtu anayeshinda kuwa Rais wa Nchi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Siasa.

Hii itaepusha hata kwenye matumizi ya mali ya umma kwenye Chama cha Siasa. Watunga Sheria na wasimamizi wa Sheria mliangalie hili lifanyiwe kazi hata kabla Katiba mpya haijaanzishwa. Naleta kwa msisitizo na utekelezaji wa mapema.
Katika kitu viongozi wa CCM hawataki kukisikia hicho cha kutenganisha CCM n polisi
 
Unamaanisha MWENYE GARI awe KONDAKTA ..?

Kwenye gari lake
Hata wenye magari huajiri madereva. Pia mwenye gari akiendeshwa Trafiki hasumbuani na mwenye gari ila dereva wa gari.
 
Ili vyombo vya Dola visiegemee kwa wanasiasa wakati wa utendaji wa majukumu yao, itungwe Sheria ya kuzuia Mtu anayeshinda kuwa Rais wa Nchi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Siasa.

Hii itaepusha hata kwenye matumizi ya mali ya umma kwenye Chama cha Siasa. Watunga Sheria na wasimamizi wa Sheria mliangalie hili lifanyiwe kazi hata kabla Katiba mpya haijaanzishwa. Naleta kwa msisitizo na utekelezaji wa mapema.
Hitaji la latina mpya
 
Ili vyombo vya Dola visiegemee kwa wanasiasa wakati wa utendaji wa majukumu yao, itungwe Sheria ya kuzuia Mtu anayeshinda kuwa Rais wa Nchi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Siasa.

Hii itaepusha hata kwenye matumizi ya mali ya umma kwenye Chama cha Siasa. Watunga Sheria na wasimamizi wa Sheria mliangalie hili lifanyiwe kazi hata kabla Katiba mpya haijaanzishwa. Naleta kwa msisitizo na utekelezaji wa mapema.
Kama SA, na ili afanye kazi ya nchi sio ya kwake na familia yake
 
Haisaidii,Rais atalinda tu chama chake,rais ni amiri jeshi mkuu wanajeshi yote nchini
Katiba mpya ni lazima
 
Ili vyombo vya Dola visiegemee kwa wanasiasa wakati wa utendaji wa majukumu yao, itungwe Sheria ya kuzuia Mtu anayeshinda kuwa Rais wa Nchi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Siasa.

Hii itaepusha hata kwenye matumizi ya mali ya umma kwenye Chama cha Siasa. Watunga Sheria na wasimamizi wa Sheria mliangalie hili lifanyiwe kazi hata kabla Katiba mpya haijaanzishwa. Naleta kwa msisitizo na utekelezaji wa mapema.
Washika tonge hawawezi kukuelewa
 
Kutii Sheria bila shuruti ni muhimu kwenye utawala wa Sheria. Ila kuhusu MKiti wa Chama cha Siasa kuwa Rais imekuwa ikileta mkanganyiko kwenye utendaji wa vyombo vya Dola na matumizi ya mali ya umma kwenye shughuli za utendaji wa Rais na Viongozi wengine wa Serikali walioko kwenye Siasa.
Katika kosa kubwa limefanyika nchi hii ni mfumo kulazimisha chama kimoja kukaa madarakani muda mrefu, hata ilipokuwa dhahiri chama hicho kimepoteza ushawishi mkubwa kwa umma. Kwa sasa tutaendelea kuona katiba ikitelezwa kwa utashi wa rais wa chama kilichoko madarakani kwa faida yake na chama chake.
 
Nchi yetu ina katiba mbaya sana. Mara zote viongozi waliotangulia walikuwa wanatumia busara zaidi kuliko katika kuongoza.

Katiba yetu ni ya kipuuzi sana. Kwa hili Nyerere hawezi kukwepa lawama kutuachia katiba mbovu namna hii.

Unakuwa na mtu ambaye yuko juu ya kila kitu.
 
Nchi yetu ina katiba mbaya sana. Mara zote viongozi waliotangulia walikuwa wanatumia busara zaidi kuliko katika kuongoza.

Katiba yetu ni ya kipuuzi sana. Kwa hili Nyerere hawezi kukwepa lawama kutuachia katiba mbovu namna hii.

Unakuwa na mtu ambaye yuko juu ya kila kitu.
Sasa unataka kusema sasa hivi shida ni nini , Busara au katiba
 
Nchi yetu ina katiba mbaya sana. Mara zote viongozi waliotangulia walikuwa wanatumia busara zaidi kuliko katika kuongoza.

Katiba yetu ni ya kipuuzi sana. Kwa hili Nyerere hawezi kukwepa lawama kutuachia katiba mbovu namna hii.

Unakuwa na mtu ambaye yuko juu ya kila kitu.
Katiba mpya ni muhimu sana kwa mustakabali wa Tanzania ipatikane mapema.
 
Back
Top Bottom