Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Closed
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kulala ni kuendekeza umasikiniSawa CEO project Y mimi ngoja nilale.
😅😅🤣🤣🤣 kabisaKuna baadhi ya mambo yataendelea kupokonya pesa hata kama mgumu vipi.
Hawa motivational speakers wapo kama waganga wa kienyeji anakwambia ana dawa ya kukufanya uwe na pesa utajirike lakini mwenyewe anaishi kwenye kibanda cha udongo hata akiba ya elfu 50 ndani hana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kuhusu Malaya(wanaojiuza).
Chukulia unaishi mbali na mkeo,mnaonana baada ya miezi 3.Je unaweza kuishi bila kupiga Malaya ili usevu pesa.?
Kuna baadhi ya mambo yataendelea kupokonya pesa hata kama mgumu vipi.