The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
mwabukusi anamjua nani? Unadhani kelele zake huko vijijini zinasikika?Kwa namna ninavyo mfahamu Boniface mwabukusi itapendeza sana kama akawa mgombea urais wa chadema.
Aina ya misimamo yake na ujasiri wake wakiwa jukwaa Moja wanaweza kumachi vizuri sana na Tundu lisu.
Lakini pia hii inaweza kuiongezea chadema kura za nyanda za juu kusini.
kuna yule mpakwa mafuta wa Bwana aliwahi kumshauri Mwabukusi kuwa asiogope kutikisa mbuyuKwa namna ninavyo mfahamu Boniface mwabukusi itapendeza sana kama akawa mgombea urais wa chadema.
Aina ya misimamo yake na ujasiri wake wakiwa jukwaa Moja wanaweza kumachi vizuri sana na Tundu lisu.
Lakini pia hii inaweza kuiongezea chadema kura za nyanda za juu kusini.
misimamo, akili, ujasiri, uthubutu, nk ni sifa za yule mwamba. usisahau pia wapiga kura wengi ni wale wa rika lake🤣🤣🤣🤣🤣hebu acheni mizaha yaani mwambukusi awe namba moja
Basi NAPE awe RaisTakataka
ni nini kipimo chake.Uraisi ni hekima na busara
Kwani urais una maajabu gani ambayo mwabukusi hanaLipumbavu lingine hili
Kama urais ingekuwa kujulikana basi kingwendu angeshakuwa rais siku nyingimwabukusi anamjua nani? Unadhani kelele zake huko vijijini zinasikika?
Unamwitaje rais wa tls takataka!?Takataka
Mwabukusi si mtu sahihi, too eratic. Plus si mwanachadema anatokea NCCR, means lazima agombee kwa chama chakeKwa namna ninavyo mfahamu Boniface mwabukusi itapendeza sana kama akawa mgombea urais wa chadema.
Aina ya misimamo yake na ujasiri wake wakiwa jukwaa Moja wanaweza kumachi vizuri sana na Tundu lisu.
Lakini pia hii inaweza kuiongezea chadema kura za nyanda za juu kusini.
Mbona lowasa aliombwa toka ccm sembuse nccr!?Mwabukusi si mtu sahihi, too eratic. Plus si mwanachadema anatokea NCCR, means lazima agombee kwa chama chake