Ili kumfunga Wydad Casablanca, Simba SC watahitaji muujiza wa Fiston Kalala Mayele

Ili kumfunga Wydad Casablanca, Simba SC watahitaji muujiza wa Fiston Kalala Mayele

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Jean Baleke ni mchezaji mzuri lakini bado hatoshi kuisaidia Klabu katika nyakati ambazo Klabu inahitaji matokeo.

Kwa aina yake ya uchezaji anaonekana ni mchezaji wa kuvizia vizia tu, anayekosa traits za kuamua mechi kubwa kama wanavyofanya wakina Erling Halaand, Peter Shalulile, Olly Watkins na Fiston Kalala Mayele.

Dogo Baleke anapenda sana kustick katika eneo moja ambalo linamfanya asiwe mfanisi sana kuamua mechi ngumu zinazohitaji matokeo.

Nukuu:

"Baleke is the only Simba SC player who was not involved in the game." - Robertinho

Mechi ya marudiano ili Simba wapate matokeo chanya ni lazima wapate striker kama Mayele mwenye kuweza kuwa karibu na viungo katika kipindi cha transition.

Tofauti na hapo dogo atakuwa akijitenga peke yake juu na kutegemea mipira ya mashambulizi ya ghafla kufunga, kitu ambacho Wydad hawato toa nafasi kitokee wakiwa home ground.

20230423_200608.jpg

 
Jean BALEKE ni mchezaji mzuri lakini bado hatoshi kuisaidia Klabu katika nyakati ambazo klabu inahitaji matokea.

Kwa aina yake ya uchezaji anaonekana ni mchezaji wa kuvizia vizia tu anayekosa traits za kuamua mechi kubwa kama wanavyofanya wakina Erling Halaand, Peter Shalulile, Olly Watkins na Fiston Kalala Mayele.

Dogo Baleke anapenda sana kustick katika eneo moja ambalo linamfanya asiwe mfanisi sana kuamua mechi ngumu zinazohitaji matokeo.

NUKUU:-

"BALEKE IS THE ONLY SIMBA SC PLAYER WHO WAS NOT INVOLVED IN THE GAME - Robertinho"

Mechi ya Marudiano ili Simba wapate maatokeo chanya ni lazima wapate striker kama Mayele mwenyw kuweza kuwa karibu na viungo katika kipindi cha transition.

Tofauti na hapo Dogo atakuwa akijitenga peke yake juu na kutegemea mipira ya mashambulizi ya ghafla kufunga, kitu ambacho Wydad hawato toa nafasi kitokee wakiwa home ground.
View attachment 2597425
Huyu tar16 hakuwepo pale taifa?
 
Uyanga na Usimba hauishagi yani
Na siku za hivi karibuni umekuwa wa kijinga sana.Kila kona ni huu ujinga unaendelea hapa Tanzania.

Kuna kipindi niliacha kuangalia mpira wa bongo,nilikuwa bonge la mjanja but sasa naangalia aisee najiona mjingaaaaa.

Ngoja niache kabisaaa
 
Back
Top Bottom