John Gregory
JF-Expert Member
- Jul 14, 2019
- 1,137
- 2,147
Nikiwa kama shabiki wa Simba naomba uongozi ukaongee na Yanga tumtumie Mayele walau mara moja tu! Au hata Aucho au Mwamnyeto sio mbaya vinginevyo tunakufa vibaya mno.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kukuta huu ujinga wa wapenzi wa Simba kujifanya gongowazi lakini gongowazi kila uzi wao utakuta ohh mimi mpenzi wa Simba na kutoa ushauri.Sababu kubwa ni inferiority complex na kutojua wanachoshabikia.Wakivimbiwa mihogo huwa wanaropoka tu kwa mujibu wa Rais wao Hersi.Nikiwa kama shabiki wa Simba naomba uongozi ukaongee na Yanga tumtumie Mayele walau mara moja tu! Au hata Aucho au Mwamnyeto sio mbaya vinginevyo tunakufa vibaya mno.
Huyo ni gongowazi wazi mwenzako. Fuatilia comments zake zilizopita.Afadhali umekuwa muungwana.
Uwezo wako wa kufikiri baada ya kuvimbiwa mihogo ndio huu sina la kuongeza.Fanya utafiti kidogo au gongowazi hamjuani?Acha uongo.