Ili kuongeza ajira na mapato, Serikali iruhusu biashara kufanyika saa 24

Ili kuongeza ajira na mapato, Serikali iruhusu biashara kufanyika saa 24

Serikali kuongeza ajira na mapato iruhusu biashara kufanyika masaa 24

Hii itafanya uchumi uende haraka
Mimi nilikuwa ninajua ni biashara kama za pombe ndio zina muda wa kuwa wazi. Lakini nyingine kama viwanda ruksa!
 
Mimi nilikuwa ninajua ni biashara kama za pombe ndio zina muda wa kuwa wazi. Lakini nyingine kama viwanda ruksa!
Sio kweli Mabasi ya safari ndefu na daladala na hayasafiri masaa 24 pia

Ukienda biashara za maduka , masoko na mabenki pia hayafanyi kazi masaa 24

Ziko biashara kibao hazifanyi kazi masaa 24
 
Sio kweli Mabasi ya safari ndefu na daladala na hayasafiri masaa 24 pia

Ukienda biashara za maduka , masoko na mabenki pia hayafanyi kazi masaa 24

Ziko biashara kibao hazifanyi kazi masaa 24
Mabasi zamani yalikuwa yanasafiri usiku serikali ikazuia kutokana na ajali za mara kwa mara. Hii ni kutoka na safety.
Mabenki sijui kama kuna sheria inawazuia kufungua 24hrs. Hii inawezekana na mabenki wenyewe wanaona hakuna sababu ya kufungua 24hrs. Na hii sio Tanzania tu bali hata Europe. Utaenda benki usiku kufanya nini na technologia tuliyo nayo sasa hivi.
Hata masoko hakuna umuhimu wowote wa kufungua usiku labda kwa wachawi kununua chmvi saa sita usiku!!
Mimi kwangu naona ni viwanda ndio kuna umuhimu kufanya 24hrs Lakini inawezekana hakuna sheria inayowazuia kufanya hivyo Ila wamiliki wanaona haina faida kwao kutoka na uchumi wetu sasa hivi!

Elewa kufungua biashara usiku ni more costly zaidi ya mchana.
 
Elewa kufungua biashara usiku ni more costly zaidi ya mchana.
Costly kwa kitu gani mfano mganya biadhara wa mazo unatoka na lori mikoani limejaa mazao unaenda soko la jumla mnapanga foleni kukesha hadi kuche ndio ushushe mzigo badala ya kuushusha na kuo doka zako

Mabasi kuzuiwa kusafiri usiku kisa ajaki ni sababu ya barabara zilikuwa mbovu dasa hivi ziko vizuri na mabasi mengi yalikuwa ya nizamani choka mbaya ya teknolojia ya zamani

Haya na daladala zilipigwa marufuku kusafiri masaa 24 kwa ajili ya ajali?
 
Jamaa anataka masoko mpaka usiku. Imagine mke wako ana kuambia anakwenda sokoni saa sita usiku kununua na nazi!
Cha ajabu nini mtu anatoka kazini saa mbili usiku unataka aende sokoni saa ngapi? Kutokuweko masoko usiku kunasababisha utoro makazini.Watu wanatoroka kazi ni kwenda sokoni au madukani
 
Mabasi zamani yalikuwa yanasafiri usiku serikali ikazuia kutokana na ajali za mara kwa mara. Hii ni kutoka na safety.
Mabenki sijui kama kuna sheria inawazuia kufungua 24hrs. Hii inawezekana na mabenki wenyewe wanaona hakuna sababu ya kufungua 24hrs. Na hii sio Tanzania tu bali hata Europe. Utaenda benki usiku kufanya nini na technologia tuliyo nayo sasa hivi.
Hata masoko hakuna umuhimu wowote wa kufungua usiku labda kwa wachawi kununua chmvi saa sita usiku!!
Mimi kwangu naona ni viwanda ndio kuna umuhimu kufanya 24hrs Lakini inawezekana hakuna sheria inayowazuia kufanya hivyo Ila wamiliki wanaona haina faida kwao kutoka na uchumi wetu sasa hivi!

Elewa kufungua biashara usiku ni more costly zaidi ya mchana.
Issue nyingine muhimu ni safety. Wenye maduka wanashindwa kufungua usiku kwa sababu ya usalama. Kama vyombo vya usalama vingekuwa imara na vyenye uwezo wa kusimamia usalama wa hizo biashara kwa masaa yote, wenye biashara wangefungua hata usiku.
 
Costly kwa kitu gani mfano mganya biadhara wa mazo unatoka na lori mikoani limejaa mazao unaenda soko la jumla mnapanga foleni kukesha hadi kuche ndio ushushe mzigo badala ya kuushusha na kuo doka zako

Mabasi kuzuiwa kusafiri usiku kisa ajaki ni sababu ya barabara zilikuwa mbovu dasa hivi ziko vizuri na mabasi mengi yalikuwa ya nizamani choka mbaya ya teknolojia ya zamani

Haya na daladala zilipigwa marufuku kusafiri masaa 24 kwa ajili ya ajali?
Mabas sahv yanatembea usiku had yafike yanapoenda hakuna ile ratiba ya kulala njian inapofika saa5 usiku tena. Japo stendi hazifanyi kazi 24/7

Swala la masoko/ supermarket na min supermarket/ pharmacy hii inatokana na dhana tuliyojijengea kuwa usiku ni mda wa kupumzika/kulala sio mda wa kutoa huduma, kwaiyo had hii mindset ije itutoke itachukua mda.
 
Ili kuongeza mapato Serikali na Shirika la Uwakala wa Meli (TASAC) warudishe baadhi ya kazi kwa watu binafsi kama ilivyokuwa kipindi Cha nyuma. TASAC ibaki kuwa chombo Cha kusimamia sio yenyewe kufanya kazi ambazo makampuni yalikuwa yanafanya.

Sasa TASAC yeye ni msimamizi na anafanya hizo kazi. Hii imepelekea kampuni nyingi za clearing and fowarding kuwa katika wakati ngumu na nyingine kufa, kampuni za Tallying, Agencies kufa na watu wengi kupoteza kazi.
 
Mabas sahv yanatembea usiku had yafike yanapoenda hakuna ile ratiba ya kulala njian inapofika saa5 usiku tena. Japo stendi hazifanyi kazi 24/7
Siongelei kufika naongelea mabasi pia kuondoka mwanzo wa safari muda wowote hata udiku mfano kuanza safari saa mbili usiku au saa nne usiku nk
 
Mimi nilikuwa ninajua ni biashara kama za pombe ndio zina muda wa kuwa wazi. Lakini nyingine kama viwanda ruksa!
Viwandani ni kawaida,inabidi kada zingine za biashara kama usafirishaji,abiria na mizigo,chakula na vinywaji,maduka,masoko.
Kwenye usafirishaji huwa nashangaa nikisikia eti polisi hawaruhusu mabasi kusafiri usiku kwa sababu ya ujambazi,sasa unajiuliza wao kazi yao ni ipi?au kuzuia baa zisiwe wazi 24hrs
 
Masaa ishirini na nne unamaanisha watu wawe wanafanya kazi kwa shift, akitoka huyu anaingia mwingine kwenye nafasi ile ile mpaka kuna kucha? hilo linawezekana ila mishahara ya kuwalipa hao watu ndio sijui kama itakuwepo kama kuwaongezea mishahara hawa waliopo ni shida.
 
Serikali kuongeza ajira na mapato iruhusu biashara kufanyika masaa 24

Hii itafanya uchumi uende haraka
Inaruhusiwa,ombea leseni tu kuna mini supermarket nyingi tu hapa Dar zinafanya kazi masaa 24.
 
Back
Top Bottom