King Octavian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 403
- 353
ni kwamba mara nyingi makazini watu wanatong°zana na kuna wengine wanatoka na mabosi zao hata kazi wamepewa kwa kugawa chini sasa ukisema tuwe tunafanya kazi usiku huo ndo muda muafaka wa kutimiza azma elewa kwamba sisi nchi yetu haijawa na umeme wa uhakika kwa hiyo ukizimika tu sherehe
haaaaa kweli aiseeeSijui nyinyi wenzangu, ila sisi wahudumu wa afya (madokta, manesi, wafamasia na watu wa maabara) tushazoea hilo jambo kitambo. Shame on you ambao mshaanza kusema ngono zitazidi ilhali wafanyakazi wengi tu wa kazi za usiku hawana mawazo hayo, ingawa kwenye msafara wa mamba na kenge wamo
wazo zuri..Wahamishie ofisi za serikali dodoma
JPM kasikia wazo lakoWahamishie ofisi za serikali dodoma
Tena hizi zitafaa sana kuanza nazokwa majaribio tuanze na TRA; Wizara ya fweza; Ardhi na uhamiaji.
ila lazima ile amri ya kualla saa sita kamili iliyowekwa na mheshimiwa RC weu itenguliweTena hizi zitafaa sana kuanza nazo
Hizi sehemu nyeti sana kwa ukuaji wa uchumi wetu, ni lazima zi-run 24/7, hakuna tena namna ya kukwepa hiliBandarini
TRA
Kitu hicho sio rahisi chini ya ILO convention inayohusu night shift workers.Hii itasaidia sana kupunguza foleni kwani wakati nusu ya watu wanarudi kutoka kazini nusu wanakua wanaenda kazini badala ya wote kujazana kwenye lane ya upande mmoja. Pia ajira zitaongezeka maradufu kwani kila nafasi itabidi ijazwe na mtu wa nightshift, pia ufanisi wa kazi utaongezeka na ku-speed up maendeleo maradufu.., ufanisi utaongeza mapato maradufu ambayo itawezesha kulipwa kwa hao watu wa nightshift.., itapendeza sana jiji ku-run 24hrs at full throttle..
uko vizuriHii itasaidia sana kupunguza foleni kwani wakati nusu ya watu wanarudi kutoka kazini nusu wanakua wanaenda kazini badala ya wote kujazana kwenye lane ya upande mmoja. Pia ajira zitaongezeka maradufu kwani kila nafasi itabidi ijazwe na mtu wa nightshift, pia ufanisi wa kazi utaongezeka na ku-speed up maendeleo maradufu.., ufanisi utaongeza mapato maradufu ambayo itawezesha kulipwa kwa hao watu wa nightshift.., itapendeza sana jiji ku-run 24hrs at full throttle..
Yaani tulipane kwa saa? Hii inawezekana kwa nchi zilizoimara kiuchumj, kwa tz waajiri wengi tutafilisika..Kitu hicho sio rahisi chini ya ILO convention inayohusu night shift workers.
Ila imefika wakati Serikali, ATE, na TUCTA waweke mfumo wa malipo kwa saa, badala ya kwa meezi. Chini ya mfumo huu mfanyakazi alipwe kwa muda halisi anaotumia kuwepo na kufanya kazi. Ukichelewa kufika kazini sawa lakini utalipwa kuanzia ulipofika na ku-punch in ile time card yako hadi utakapo-punch out. Mwisho wa mwezi unahesabiwa saa ulizofanya kazi katika card yako na kulipwa, zikizidi, ule muda wa ziada utalipwa OT nk.
Mfumo huu unapunguza au kuondoa 'peak hours' asubuhi na jioni. Ukiwahi kuingia utawahi kutoka, na ukichelewa kuingia utachelewa kutoka, hata kama itakuwa usiku hutamlaumu mtu, time card yako ndio utachunga mwenyewe, ili uingize saa 8 zinazotakiwa kwa siku.
Hapo msongamano kwenye mwendokasi na daladala pia utapungua.
Hata mabasi ya mikoani nayo madereva wakilipwa kwa saa hakuna atakae endesha kwa kasi, ukiwahi unalipwa kidogo ukichelewa unalipwa zaidi.
Na sio lazima kwamba wafanyakazi wote waingizwe katika mfumo huu, baadhi ya caders kama wataalamu vyuoni, managers, contract staff nk. wanaweza kubaki kwenye mfumo wa kawaida.
Sema vichwani mwa watanzania waliowengimkuu ngono ndoo imetawala vichwani mwa watu yani mtu akipata vijipesa anaongeza mke wa pili na vi dumu pembeni sisi maendeleo yetu ni starehe na ngono tu