FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
-
- #41
A Short-sighted mind argumentsHii itasaidia sana kupunguza foleni kwani wakati nusu ya watu wanarudi kutoka kazini nusu wanakua wanaenda kazini badala ya wote kujazana kwenye lane ya upande mmoja. Pia ajira zitaongezeka maradufu kwani kila nafasi itabidi ijazwe na mtu wa nightshift, pia ufanisi wa kazi utaongezeka na ku-speed up maendeleo maradufu.., ufanisi utaongeza mapato maradufu ambayo itawezesha kulipwa kwa hao watu wa nightshift.., itapendeza sana jiji ku-run 24hrs at full throttle..
==========================
16/04/2024
View: https://www.instagram.com/reel/C5yrfFgi43h/?igsh=NjZiM2M3MzIxNA==
==========================
Update: 23/01/2025
Dar kama New York! Chalamila atangaza mpango maalum biashara kufanyika hadi usiku wa manane! Jeshi La Polisi kuhusika
Wakuu, Akizungumza hivi karibuni, Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Albert Chalamila amesema kuwa yuko mbioni kuhakikisha kuwa biashara zinafanyika Dar Es Salaam masaa 24. Chalamila amesema kuwa tayari wameshaanza mchakato wa kuweka taa maalum za usiku pamoja na CCTV Camera ili kuongeza usalama...www.jamiiforums.com
Nimetembelea baadhi ya nchi za watu kuna kitu wanaita Goverment House hapo ndio kila kitu kuanzia kuomba leseni na malipo yake na kuipata the same day iko ivi.Hii itasaidia sana kupunguza foleni kwani wakati nusu ya watu wanarudi kutoka kazini nusu wanakua wanaenda kazini badala ya wote kujazana kwenye lane ya upande mmoja. Pia ajira zitaongezeka maradufu kwani kila nafasi itabidi ijazwe na mtu wa nightshift, pia ufanisi wa kazi utaongezeka na ku-speed up maendeleo maradufu.., ufanisi utaongeza mapato maradufu ambayo itawezesha kulipwa kwa hao watu wa nightshift.., itapendeza sana jiji ku-run 24hrs at full throttle..
==========================
16/04/2024
View: https://www.instagram.com/reel/C5yrfFgi43h/?igsh=NjZiM2M3MzIxNA==
==========================
Update: 23/01/2025
Dar kama New York! Chalamila atangaza mpango maalum biashara kufanyika hadi usiku wa manane! Jeshi La Polisi kuhusika
Wakuu, Akizungumza hivi karibuni, Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Albert Chalamila amesema kuwa yuko mbioni kuhakikisha kuwa biashara zinafanyika Dar Es Salaam masaa 24. Chalamila amesema kuwa tayari wameshaanza mchakato wa kuweka taa maalum za usiku pamoja na CCTV Camera ili kuongeza usalama...www.jamiiforums.com
Hoja kwa hojaA Short-sighted mind arguments