Ili kupunguza foleni na kuongeza ajira, Ofisi za serikali ziwe na nightshift...!

Ili kupunguza foleni na kuongeza ajira, Ofisi za serikali ziwe na nightshift...!

Hii itasaidia sana kupunguza foleni kwani wakati nusu ya watu wanarudi kutoka kazini nusu wanakua wanaenda kazini badala ya wote kujazana kwenye lane ya upande mmoja. Pia ajira zitaongezeka maradufu kwani kila nafasi itabidi ijazwe na mtu wa nightshift, pia ufanisi wa kazi utaongezeka na ku-speed up maendeleo maradufu.., ufanisi utaongeza mapato maradufu ambayo itawezesha kulipwa kwa hao watu wa nightshift.., itapendeza sana jiji ku-run 24hrs at full throttle..

==========================
16/04/2024


View: https://www.instagram.com/reel/C5yrfFgi43h/?igsh=NjZiM2M3MzIxNA==

==========================
Update: 23/01/2025


A Short-sighted mind arguments
 
Hii itasaidia sana kupunguza foleni kwani wakati nusu ya watu wanarudi kutoka kazini nusu wanakua wanaenda kazini badala ya wote kujazana kwenye lane ya upande mmoja. Pia ajira zitaongezeka maradufu kwani kila nafasi itabidi ijazwe na mtu wa nightshift, pia ufanisi wa kazi utaongezeka na ku-speed up maendeleo maradufu.., ufanisi utaongeza mapato maradufu ambayo itawezesha kulipwa kwa hao watu wa nightshift.., itapendeza sana jiji ku-run 24hrs at full throttle..

==========================
16/04/2024


View: https://www.instagram.com/reel/C5yrfFgi43h/?igsh=NjZiM2M3MzIxNA==

==========================
Update: 23/01/2025


Nimetembelea baadhi ya nchi za watu kuna kitu wanaita Goverment House hapo ndio kila kitu kuanzia kuomba leseni na malipo yake na kuipata the same day iko ivi.
1- Chamber of commence ( Mfannya biashara wa aina lazima aende hapo atauliza biashara anayotaka kufungua ataambiwa.
2-Gov House ofisi zote zipo hapo kuanzia regester mpaka kuipata leseni.
Note Hizi GOV House inatakiwa ziwe kila wilaya ziwe chain popote unaweza kwenda itapunguza foleni haina haja ya night shift ikiwa gov wanashindwa wanaweza kuwapa mashirika ya Umma wakafanyia kazi zao.
Mfano Immigration at list kwa Dar zinatakiwa ziwepo nne.
 
Back
Top Bottom