Utazani hujasoma hata Darasa la Saba ni shida kweli kweli hivi kijana kama ww ukipata hata Nafasi ya KUMSAHAURI waziri husika na kamati yake utachangia hoja Yako hiyo badala ya kuja na wazo la maana lenye tija kwa jamii siku hizi suala la usafiri ni muhimu Chukulia familia x jirani Mzee mstafu anakausafuri kake, mwanae Mwanajesh anakausafiri kake, mwingine Tanesco anakausafiri kake, mwingine Mwalimu anakausafiri kake unataka kusema Wote watumie gari Moja wataendaje kazini kwa wakati kijana PUMBAVU kabisa