Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
- Thread starter
-
- #21
hilo sio wazo baya mkuu linaweza kuwa wazo mbadala japo najua kuna watu watakuja apa kukupopoa vbayaBora ungeshauri kodi na ushuru uongezwe zaidi kwa wenye magari ili wengine washindwe wabaki wachache
Acha watu wafurahie vitu vyao.wivu kivipi mkuu wangu?
Utazani hujasoma hata Darasa la Saba ni shida kweli kweli hivi kijana kama ww ukipata hata Nafasi ya KUMSAHAURI waziri husika na kamati yake utachangia hoja Yako hiyo badala ya kuja na wazo la maana lenye tija kwa jamii siku hizi suala la usafiri ni muhimu Chukulia familia x jirani Mzee mstafu anakausafuri kake, mwanae Mwanajesh anakausafiri kake, mwingine Tanesco anakausafiri kake, mwingine Mwalimu anakausafiri kake unataka kusema Wote watumie gari Moja wataendaje kazini kwa wakati kijana PUMBAVU kabisaGari inayoingia road iwe moja tu kwa kila nyumba na kama kila mmoja ana gari yake mkubaliane kutumia gari ya mmoja kati yenu.
Maana kiukweli mnatuongezea foleni zisizo za lazima huku mabarabarani kwa kila mmoja kutaka kuendesha gari yake.
Au wakuu mnasemaje?
mkuu unamanisha watu wakiwa pamoja hawafurahii au? mm naona iyo hata inasaidia watu kufahamiana kujenga umoja na ujirani wenuAcha watu wafurahie vitu vyao.
ni mpangilio tu mkuu na kuondoa ubinafsi hakuna kinachoshindikana apoUtazani hujasoma hata Darasa la Saba ni shida kweli kweli hivi kijana kama ww ukipata hata Nafasi ya KUMSAHAURI waziri husika na kamati yake utachangia hoja Yako hiyo badala ya kuja na wazo la maana lenye tija kwa jamii siku hizi suala la usafiri ni muhimu Chukulia familia x jirani Mzee mstafu anakausafuri kake, mwanae Mwanajesh anakausafiri kake, mwingine Tanesco anakausafiri kake, mwingine Mwalimu anakausafiri kake unataka kusema Wote watumie gari Moja wataendaje kazini kwa wakati kijana PUMBAVU kabisa
kujenga barabara ni sawa kama ni mkakati wa muda mrefu maana apo pesa ndefu inatakiwaBadala ushauri seeikali ya CCM ijenge miundombinu wewe unaona solution ni kuzuia wenye magari?
Unavuta?
Umetumia kinywaji gani Leo 😁,Gari unaweza kuwa nalo 1..Vp kuhusu mabasi,malori,magari ya viongozi maana haya mara nyiingi ndo chanzo cha foleniGari inayoingia road iwe moja tu kwa kila nyumba na kama kila mmoja ana gari yake mkubaliane kutumia gari ya mmoja kati yenu.
Maana kiukweli mnatuongezea foleni zisizo za lazima huku mabarabarani kwa kila mmoja kutaka kuendesha gari yake.
Au wakuu mnasemaje?
mkuu nawa uso uo akili ikae sawa🤣...magari public toka lini yakaleta foleni kwanza sio mengi kama haya ambayo kila mmoja anatoka nalo kwakeUmetumia kinywaji gani Leo 😁,Gari unaweza kuwa nalo 1..Vp kuhusu mabasi,malori,magari ya viongozi maana haya mara nyiingi ndo chanzo cha foleni
Haahaa kwanini unasema ivo mkuuImpossible mission