Ili la Fadlu David Simba litawacost mnoo. Huwezi kucheza Pre season ya pili na Telcom inayopigania isishuke kutoka Ligi daraja la pili.

Ili la Fadlu David Simba litawacost mnoo. Huwezi kucheza Pre season ya pili na Telcom inayopigania isishuke kutoka Ligi daraja la pili.

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Nilishaonesha sana Ubovu wa kitwakimu huyu bwana akisimamia timu mara 7 tofauti.

Simba wanabaki kumpamba tu kwenye media haita badili kitu kuhusu uwezo wake.

Kinachomfanya aombe Timu mbovu sio kukosa timu nzuri bali ni muoga wa mechi kubwa.

Ona Fadlu Sio kocha huwezi cheza na timu inayocheza kujikwamua kushuka dalaja la Pili mechi ya Pili misri. Hapo anajifunza nini?

Ata kwenye hiyohiyo ligi angecheza ata na timu inayopanda daraja. Maana ilishaisha.

Ata timu za ligi dalaja la kwanza kakosa. Huu ni upuuzi.

Azam Mechi ya pili ni Whydad. Yanga kacheza na timu Tatu kubwa South Africa.

Aina ya mechi ambazo fadlu anaziomba basi angefanya pre season bongo acheze na Kurugenzi ya Maswa. Maana akina biashara na Mbeya kwanza ni wakubwa mno kwa mechi anazocheza.

Ata SIMBA DAY TUTEGEMEE TIMU NDOGO KABISA KUCHEZA NA SIMBA.
Screenshot_2024_0728_072502.png
F
 
Tuliona Augsburg ikicheza na team ndogo sana kutoka dunia ya tatu mkuu...

Halafu usichanganye mambo, maana kuna wakati Mamelody Sundowns hucheza hadi na Barcelona...

Ila CCL huishia robo au nusu...
Hata Arsenal hucheza na Millwall FC.

Hajui mpira shabiki mandazi wako wengi maana ushabiki wa mpira umekuwa kama fashion tu na siyo passion!
 
Kocha anatafuta kubadili kikosi kuwa timu, Huu ni mtihani wa kwanza mkubwa sana kwake.
 
Nilishaonesha sana Ubovu wa kitwakimu huyu bwana akisimamia timu mara 7 tofauti. Simba wanabaki kumpamba tu kwenye media haita badili kitu kuhusu uwezo wake. Kinachomfanya aombe Timu mbovu sio kukosa timu nzuri bali ni muoga wa mechi kubwa. Ona Fadlu Sio kocha huwezi cheza na timu inayocheza kujikwamua kushuka dalaja la Pili mechi ya Pili misri. Hapo anajifunza nini?

Gamondi alicheza sana hizi pre season ya mwaka jana tu

1722159622244.png
 
Swala ni kucheza na timu ndogo zote pre season nzima hakuna timu inayofanya utumbo uo
 
Back
Top Bottom