Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushampata mganga au nikupe nambaWakuu mi sahivi siteseki nainjoi mbona..😂
Sasa mtu hana hata watoto wanaotakiwa kulipiwa school fees unategemea awaze nini?Yaan mwaka mpya mnawaza mapenzi tu hebu achana nayo
Mkuu hata sina hasira miePunguza hasira basi
Nishaongea na mganga wangu jiandaepage tatu manenooo meeengi hakuna namba za mtaalamu....🚶🚶
unaniroga? na mi natafuta mtaalamu nimroge mtu....Nishaongea na mganga wangu jiandae
😅😅😅😅😅😅 utajua hujuiunaniroga? na mi natafuta mtaalamu nimroge mtu....
sasa haya ni mapenzi au michezo ya Tom na Jerry
kuna mtoto wa mtu ananiweka roho juuExtrovert sema nae huyu sijui nani anataka amuroge..
....nigee namba ya mtaalamu nimueke kwenye chupa mtoto wa mtu😅😅😅😅😅😅 utajua hujui
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unaniroga? na mi natafuta mtaalamu nimroge mtu....
sasa haya ni mapenzi au michezo ya Tom na Jerry
Wakati huo huo namimi nakutia kwenye kichupa😅....nigee namba ya mtaalamu nimueke kwenye chupa mtoto wa mtu
utajua baadae kama ni wewe au sio wewe, nasikia tabora ndio inasaplai dawa za mapenzi Tanzania nzima... ntadandia gari za mananasi niende chapAisee! Sasa ndo umeamua umvike bima ya afya ya kiasili..😂
Sawa nakuachia weye ila huyo mtoto wa mtu naomba tu isije kuwa ndo Mimi..!