Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kunikanyagia waya basi....πWakati huo huo namimi nakutia kwenye kichupaπ
Naelewa ugonjwa wako ila nataka nikutie uchizi tuAcha kunikanyagia waya basi....π
mi ukitaka kuniroga so unajua cha kufanya, si unakijua????ππ
niwe zombie nisipende helaπNaelewa ugonjwa wako ila nataka nikutie uchizi tu
Utazichukia mnoniwe zombie nisipende helaπ
Mvuta bangiππKama wewe ulivyo gaidi..π
Wewe uyoKumbe umeongeza fani!
mkitupenda tutawatii...Enyi wanaume wapendeni wake zenu, na enyi wanawake watiini waume zenu...
mkitupenda tutawatii...
Hizo fujo ndo zinafanya watu wanatiana mabisu ya shingo!,wanachomana moto hizo ndo raha unazotaka..?fujo vurugu na vitimbj ndio chachandu yenyewe ya mapenzi.......
mradi viwe vya kiasi
sasa ukishamroga kila usemacho yumo tu raha iko wapi kijana????
siku hizi hatuiti kitu kizito,tunaita kitu chenye ncha kaliπ mana ndio vinaua watu ukisoma kesi nyingi za mauajiHivi mkuu jeraha la kupigwa kitu kizito na manzi yako siku ya Christmas limepona kweli? Jipe muda wa kupumzika, maana yanakupeleka resi kinyama. πππ
Ha ha haa,we jamaa weweSiwezi mi mbona napendwa acha tu!