Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kabisa[emoji4]
Yaani hapo kila mmoja atimize jukumu lake pasipo kujali afanyacho mwenzake...
fujo fujo zinziakiwa kuwa za kiasi, za kuchomana visu sio fujo ni ugonjwa ule!Hizo fujo ndo zinafanya watu wanatiana mabisu ya shingo!,wanachomana moto hizo ndo raha unazotaka..?
Mwalimu huyo..😂fujo fujo zinziakiwa kuwa za kiasi, za kuchomana visu sio fujo ni ugonjwa ule!
sasa unakuwaje na mpenzi ambaye una uhakika ni wako 150% hata kawivu hakuna..
amsha amsha hakuna
hata akienda saluni masaa kumi haushtuki unajua wako tu hana hata wa habari gani!!!!!
ndugu wapinzani wanakupa akili ya mapenzi!!!!!!
Kwa avatar huyo ni wewe??[emoji3][emoji3]
Kwa avatar huyo ni wewe??
ChaiPiga ua lazima mmoja amroge mwenzie alasivyo fujo,vurugu na vitimbi havitaisha. Iwe jua iwe mvua lazima mmoja wenu awe msukule wa mwenzake!.
We sema hela Sasa utateseka na hela zako,cheo chako,ubaunsa wako,unyama wako utagalagazwa hovyo ulie kama kitoto kilichonyimwa peremende!.
NB:
Uzi huu utaeleweka na wenye vichwa vyenye weledi manyumbu sina la kusema juu yenu.
Mganga wa mapenzi anapatikana wapi nimroge Joannah awe mke wangu maama sio kwa titi lilePiga ua lazima mmoja amroge mwenzie alasivyo fujo,vurugu na vitimbi havitaisha. Iwe jua iwe mvua lazima mmoja wenu awe msukule wa mwenzake!.
We sema hela Sasa utateseka na hela zako,cheo chako,ubaunsa wako,unyama wako utagalagazwa hovyo ulie kama kitoto kilichonyimwa peremende!.
NB:
Uzi huu utaeleweka na wenye vichwa vyenye weledi manyumbu sina la kusema juu yenu.
waganga wameokoka!.. 😅
Sasa ningekuwa nanhela mganga wa nini tena?😅😅😅una hela lakini?
Hunifai kama huna hela😅😅Sasa ningekuwa nanhela mganga wa nini tena?
Mganga ni ili u ipende mie nu ufukara wangu na kibamia changu
Ngoja nimpate mganga utanipenda hivi hivi bila helaHunifai kama huna hela😅😅