GITWA
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,572
- 1,781
Sio kwamba sijui ila nyie wachumia tumbo hamna akili. Huo muungano unaniongelea ni wa Zanzibar na nchi gani?Kwani baraza la wawakilishi ni la muungano?
We bavicha bure kabisa!
Alafu sio kila anayekosoa ni bavicha. Mimi ni mwanamapinduzi mpinga mapinduzi simo kwenye ujinga wa vyama vya siasa bali kwenye maslahi ya nchi