Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaweza Kutoa Ushauri Kumbe Mtu Mwenyewe Ni Kama Mamelod Yule Wa FIFA, Aweke Picture Tumuone
Napendeza ila linanip tabu kushikilia had mikono inaniuma ninayo yanapauk sio mazur ataUkitupia kijora cha mikono mifupi unakuwagaje?
Kuna vigauni fulani vinaishia chini ya magoti kidogo ukivaa utatokelezea ila sasa usivunge kilemba inabidi nywele zako tu ziwe fupi size moja uvae na sandals zenye soli fupi hakika nikikuona kwa style hiyo utanivutiaSketi na shati au magauni surual spend cause mi nimwembamba mwembamba
Wewe ni mwanaume au mwanamke?Nahitaji mtu anifundishe jinsi ya kupangilia nguo zangu wakati wa kuvaa ili nipendeze viatu na nguo na kichwani pia spendi kusuka napenda malemba na kunyoa.
Mimi ni maji ya kunde sio mweupe sio mweusi sio mrefu sio mfupi karibuni mnishauri rangi gani za nguo zinanifaa na aina gani ya viatu vifupi au vilefu etc
Nipo ready kuwasikiliza mana najikuta kuipenda nguo ikiwa dukani nikiivaa tu siku mbili siipend tena naona kama haina mvuto tena
Malemba hupendi?Kuna vigauni fulani vinaishia chini ya magoti kidogo ukivaa utatokelezea ila sasa usivunge kilemba inabidi nywele zako tu ziwe fupi size moja uvae na sandals zenye soli fupi hakika nikikuona kwa style hiyo utanivutia
Nioneshe sampleKuna vigauni fulani vinaishia chini ya magoti kidogo ukivaa utatokelezea ila sasa usivunge kilemba inabidi nywele zako tu ziwe fupi size moja uvae na sandals zenye soli fupi hakika nikikuona kwa style hiyo utanivutia
[emoji16] [emoji16] [emoji1]Basi wewe ni upepo?!maana ulivyoandika ni kama umemaanisha kiumbe cha kufikirika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukivaa nilivyokuambia ukiweka kilemba tena haipendez
Inaonekana hutokagi
Inakuaje hujui hivyo vigauni
Tembelea mswati stylish hutojutaNahitaji mtu anifundishe jinsi ya kupangilia nguo zangu wakati wa kuvaa ili nipendeze viatu na nguo na kichwani pia spendi kusuka napenda malemba na kunyoa.
Mimi ni maji ya kunde sio mweupe sio mweusi sio mrefu sio mfupi karibuni mnishauri rangi gani za nguo zinanifaa na aina gani ya viatu vifupi au vilefu etc
Nipo ready kuwasikiliza mana najikuta kuipenda nguo ikiwa dukani nikiivaa tu siku mbili siipend tena naona kama haina mvuto tena
Ntakupm ngoja niwek cm chajiInakuaje hujui hivyo vigauni
Karibu dear
Sketi na shati au magauni surual spend cause mi nimwembamba mwembamba