Ili nipendeze nifanye nini

Nikuulize Mdada,una manyonyo makubwa au madogo au wastani,una nyamanyama nyuma? ili nkishauri uvaaje ,maana kuna nguo zinaendana na umbo lako,kiuno cha kuvalia nguo,pia kama una matege nazungumzia aina ya miguu ilivo, nataka nsikie nikushauri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…