Ili Simba na Yanga zitoboe ziache kuombeana mabaya mechi za kimataifa.

Ili Simba na Yanga zitoboe ziache kuombeana mabaya mechi za kimataifa.

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Simba na Yanga wakizifunga timu za nje ya nchi furaha Yao isiwe kweñye madirisha ya nyumba za washabiki wa Simba au Yanga. Wafurahie bila kuitaja Yanga au Simba. Hii itaukata mnyororo wa timu hizi kuhujumiana kwenye mechi za kimataifa.

Ili mpira wetu ukue lazima timu zetu zifanye vizuri kimataifa, lakini kasi yetu ya kufanya vizuri kimataifa inapunguzwa na tabia ya kushangilia timu ngeni. Tunaonekana kama mataahira mbele ya uso wa kimataifa.

Ombi langu ni kwamba utani wetu uwe kwenye mashindano yetu ya ndani TU,
 
Kwamba Yanga mmechoka kuonekana mataahira kwa kupokea wageni kila siku airport ?? [emoji23]
 
Ni wazo zuri Ila utekekezaji ni mgumu . Itachukua muda sana kukaa sawa kwa washabiki wa hizi timu mbili.

Mimi iliniacha hoi kauli ya KARIA (raisi wa chama cha soka cha nchi) pale Yanga walipolalamika kufungwa kwa Mkapa na GOR MAHIA ya Kenya 3-2, kutokana na TFF kuipangia mechi za mfululizo za ligi na kukosa nafasi ya kujiandaa vya kutosha.

"Na yale magoli 4-0 mliyofungwa kule KENYA tumekufungisheni sisi?"

Alikuwa hata hajui kuwa kufanya vizuri kwa hizi timu zinazowakilisha nchi ni neema ya nchi mzima.
 
Ni wazo zuri Ila utekekezaji ni mgumu . Itachukua muda sana kukaa sawa kwa washabiki wa hizi timu mbili.

Mimi iliniacha hoi kauli ya KARIA (raisi wa chama cha soka cha nchi) pale Yanga walipolalamika kufungwa kwa Mkapa na GOR MAHIA ya Kenya 3-2, kutokana na TFF kuipangia mechi za mfululizo za ligi na kukosa nafasi ya kujiandaa vya kutosha.

"Na yale magoli 4-0 mliyofungwa kule KENYA tumekufungisheni sisi?"

Alikuwa hata hajui kuwa kufanya vizuri kwa hizi timu zinazowakilisha nchi ni neema ya nchi mzima.
Unaamini Karia ni mtanzania?
 
Ni wazo zuri Ila utekekezaji ni mgumu . Itachukua muda sana kukaa sawa kwa washabiki wa hizi timu mbili.

Mimi iliniacha hoi kauli ya KARIA (raisi wa chama cha soka cha nchi) pale Yanga walipolalamika kufungwa kwa Mkapa na GOR MAHIA ya Kenya 3-2, kutokana na TFF kuipangia mechi za mfululizo za ligi na kukosa nafasi ya kujiandaa vya kutosha.

"Na yale magoli 4-0 mliyofungwa kule KENYA tumekufungisheni sisi?"

Alikuwa hata hajui kuwa kufanya vizuri kwa hizi timu zinazowakilisha nchi ni neema ya nchi mzima.
Hata vision na mission za viongozi zinaishia kwenye simba na yanga tu. Hawajui kwanini Tanzania inaagiza makocha kutoka mataifa mengine hata yale madogo kabisa kama Burundi, hawajui kwanini marefa wetu hawaitwi kuchezesha mashindano makubwa, hawajui ni kwanini taifa liko mkiani kwenye rank za ubora kwenye mpira. Ratiba zao za ligi, marefa wao, maamuzi na mipango yao yote ina upogo wa simba na yanga. Ni kwanini TFF inashindwa kuweka kanuni yenye adhabu kali kwa timu na mashabiki wanaohujumu timu ya ligi kwenye mechi na timu za nje.
 
Simba na Yanga wakizifunga timu za nje ya nchi furaha Yao isiwe kweñye madirisha ya nyumba za washabiki wa Simba au Yanga. Wafurahie bila kuitaja Yanga au Simba. Hii itaukata mnyororo wa timu hizi kuhujumiana kwenye mechi za kimataifa.

Ili mpira wetu ukue lazima timu zetu zifanye vizuri kimataifa, lakini kasi yetu ya kufanya vizuri kimataifa inapunguzwa na tabia ya kushangilia timu ngeni. Tunaonekana kama mataahira mbele ya uso wa kimataifa.

Ombi langu ni kwamba utani wetu uwe kwenye mashindano yetu ya ndani TU,
Umesema kweli
 
Simba na Yanga wakizifunga timu za nje ya nchi furaha Yao isiwe kweñye madirisha ya nyumba za washabiki wa Simba au Yanga. Wafurahie bila kuitaja Yanga au Simba. Hii itaukata mnyororo wa timu hizi kuhujumiana kwenye mechi za kimataifa.

Ili mpira wetu ukue lazima timu zetu zifanye vizuri kimataifa, lakini kasi yetu ya kufanya vizuri kimataifa inapunguzwa na tabia ya kushangilia timu ngeni. Tunaonekana kama mataahira mbele ya uso wa kimataifa.

Ombi langu ni kwamba utani wetu uwe kwenye mashindano yetu ya ndani TU,
Mm sinaga bifu na yanga linapo kuja swala la uwakilishi kimataifa...🤓🤓na miwani yangu ya ki DR. nimekaa pale..🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
 
Hata vision na mission za viongozi zinaishia kwenye simba na yanga tu. Hawajui kwanini Tanzania inaagiza makocha kutoka mataifa mengine hata yale madogo kabisa kama Burundi, hawajui kwanini marefa wetu hawaitwi kuchezesha mashindano makubwa, hawajui ni kwanini taifa liko mkiani kwenye rank za ubora kwenye mpira. Ratiba zao za ligi, marefa wao, maamuzi na mipango yao yote ina upogo wa simba na yanga. Ni kwanini TFF inashindwa kuweka kanuni yenye adhabu kali kwa timu na mashabiki wanaohujumu timu ya ligi kwenye mechi na timu za nje.
Nakazia 🤓🤓 na miwani zangu za ki DR. Nimekaa pale🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
 
Back
Top Bottom