Ili Taifa lipate Maendeleo tuwaachie watu wa Pwani

Ili Taifa lipate Maendeleo tuwaachie watu wa Pwani

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Nadhani vijana mnajionea wenyewe Issue ya Ajira so tusikubali kurudi nyuma tena.

Msomi wa degree kuwa saidia fundi ili Jambo kiukweli lilikuwa ni hatari.
 
Na hizi ndo akili za wapiga kura! Ndio maana wanapiga sambasoti mjengoni.
 
Ili taifa ili....
Angalia uliochandika tena mtu wa pwani unawaza vigodoro tu!
Nadhani vijana mnajionea wenyewe Issue ya Ajira so tusikubari kurudi nyuma tena


Msomi was degree kuwa saidia fundi ili Jambo kiukweli lilikuwa Ni hatari.
 
Nadhani vijana mnajionea wenyewe Issue ya Ajira so tusikubari kurudi nyuma tena


Msomi was degree kuwa saidia fundi ili Jambo kiukweli lilikuwa Ni hatari.
=tusikubali.

Jifunze kwanza kuandika kwa lugha ya taifa lako, kama u Mtanzania.
 
Watu wa pwani hawa hawa wanaovaa misuli na kushinda vibarazani kucheza bao la kete huku wakijipongeza na alkasusu mujarabu?

Mada yako mods waiweke jukwaa la jokes
 
Watu wa pwani hawa hawa wanaovaa misuli na kushinda vibarazani kucheza bao la kete huku wakijipongeza na alkasusu mujarabu?

Mada yako mods waiweke jukwaa la jokes
Ndio Mkuu watu wa bara tulijichanganya tukawapa nchi wakaamua kuharibu kila kitu.
 
Nadhani vijana mnajionea wenyewe Issue ya Ajira so tusikubali kurudi nyuma tena.

Msomi wa degree kuwa saidia fundi ili Jambo kiukweli lilikuwa ni hatari.
futa account yako.
 
Watu wa Pwani hakuna walliposhikwa hata waachiwe.

Watu wa Pwani ndio leo hii wewe unaongea Kiswahili, leo hii unajidai unaelewa ni nini ustaarabu ingawa huelewi maana ya neno ustaarabu.

Watu wasi wa pwani, kila kukicha wanakimbilai Pwani, mpaka pwani ndiyo imekuwa na miji mikubwa kabisa, jiulize kwanini? Simpo, kwa kuwa wanajua kutumia akili zao na kujitengenezea fursa ambazo watu wa bara mmeshindwa kujitengenezea na ndiyo maana mnakimbilia pwani.

oho zinawauma mkiona wao wa tartiiibu, wanatumia akili nyingi, wakati nyinyi mnatumia mabavu mengi kwa kuwa tu akili zenu ni finyu.


Ni nini leo hii ukijuacho YTanzania hakijaanzia Pwani? Tuanzie hapo.
 
Watu wa pwani ni wavivu over and over.

leaning sample Yao ni yule aliyeomba wake za marais wapewe pension milele
 
Nipo off leo nimepunzika wakat wa jiwe ningekuwa nasaidia fundi muda huu hakika Mama Anaupiga Mwingi Over
IMG_20220601_142112_554.jpg
 
Watu wa pwani ni wavivu over and over.

leaning sample Yao ni yule aliyeomba wake za marais wapewe pension milele
Ndio Jambo muhimu Sana hilo Wala sio wavivu sema wanafata misingi ya haki
 
L
Watu wa Pwani hakuna walliposhikwa hata waachiwe.

Watu wa Pwani ndio leo hii wewe unaongea Kiswahili, leo hii unajidai unaelewa ni nini ustaarabu ingawa huelewi maana ya neno ustaarabu.

Watu wasi wa pwani, kila kukicha wanakimbilai Pwani, mpaka pwani ndiyo imekuwa na miji mikubwa kabisa, jiulize kwanini? Simpo, kwa kuwa wanajua kutumia akili zao na kujitengenezea fursa ambazo watu wa bara mmeshindwa kujitengenezea na ndiyo maana mnakimbilia pwani.

oho zinawauma mkiona wao wa tartiiibu, wanatumia akili nyingi, wakati nyinyi mnatumia mabavu mengi kwa kuwa tu akili zenu ni finyu.


Ni nini leo hii ukijuacho YTanzania hakijaanzia Pwani? Tuanzie hapo.
Kwa mara ya kwanza umeandika point since ujiunge JF 🙏🙏
 
Back
Top Bottom