GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #21
Na ndiyo tusubirini sasa 'Kipigo' cha 'Kishalubela' leo kutoka Kwao.Naona kikosii kilipishana na mapendekezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ndiyo tusubirini sasa 'Kipigo' cha 'Kishalubela' leo kutoka Kwao.Naona kikosii kilipishana na mapendekezo
Ila kocha huwa hawashaurianii kiungo kimepwayaa sanaNa ndiyo tusubirini sasa 'Kipigo' cha 'Kishalubela' leo kutoka Kwao.
Kuna ka ukweliSisi taifa stars hatuna uwezo wa kupimana maguvu na Tunisia, hatuwezi.
Nadhani Mkude au Mao Mmoja anaenda 'Kutolewa' sasa hivi ili aingie Kiungo Faisal Salum ambaye ataenda Kuunganisha vyema 'Midfield' yetu leo.Ila kocha huwa hawashaurianii kiungo kimepwayaa sana
Tayariiiii kama kawaida yakoNadhani Mkude au Mao Mmoja anaenda 'Kutolewa' sasa hivi ili aingie Kiungo Faisal Salum ambaye ataenda Kuunganisha vyema 'Midfield' yetu leo.
Napatia hadi 'raha' Mkuu au?Tayariiiii kama kawaida yako
Kwenye ubora wako ila hilo lilikuwa linaonekana wazi kiungo kilikuwa changamotoNapatia hadi 'raha' Mkuu au?
Yani timu moja inalundika wachezaji kibao arafu mizigo,uozo wa kwenye club wanaleta na huku.shida kweli!Hii lineup ina wachezaji waliopita azam fc 7 balaa sana, tushukuru azam fc kwa kuandaa wachezaji wa taifa stars
Kuna 'Watu' hapa 'JamiiForums' mnapenda sana 'Kunidharau' na 'Kunipuuza' ila ipo Siku 'mtanikubali' nyote tu katika yale ninayowaleteeni hapa JF.Naona Feisal keshafanya yake. Huyu Gentamycine huenda ana kitu cha pekee
Endeleeni tu 'Kunidharau' na 'Kunipuuza' ila sijawa 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' kwa bahati mbaya hapa JF.Gentamycin heshima kwako sehemu ya ulichokisema naona kimetendeka..
Saluteeee mkuuu.mm nakuelewa toka ile gemu ya watani🙏🙏🙏Kuna 'Watu' hapa 'JamiiForums' mnapenda sana 'Kunidharau' na 'Kunipuuza' ila ipo Siku 'mtanikubali' nyote tu katika yale ninayowaleteeni hapa JF.
Mpk sasa ni ngapi ngapi mkuu?Saluteeee mkuuu.mm nakuelewa toka ile gemu ya watani[emoji120][emoji120][emoji120]
Huyo Faisal Salum angeanza tokea mwanzo tu sasa hivi 'Shughuli' ingekuwa imeshamalizika Mkuu. Benchi la Ufundi 'wametucheleweshea' Ushindi.Saluteeee mkuuu.mm nakuelewa toka ile gemu ya watani🙏🙏🙏
Bolo Bolo ( 1 - 1 )Mpk sasa ni ngapi ngapi mkuu?