Ili TBC wawe mubashara lazima wajue unachokwenda kuongea. Mbowe kapewa ya kuongea na waliolipia TBC

Ili TBC wawe mubashara lazima wajue unachokwenda kuongea. Mbowe kapewa ya kuongea na waliolipia TBC

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Television ya Taifa au Radio ya Taifa hasa Taifa hili la Tanzania halirushi kitu live bila kuwa programmed.

Mbowe alishapangwa na walishakubaliana nini akaongee.

Hata Masheikh na Maaskofu ili Dua zao zirushwe live lazima waonyeshe kwanza hizo dua ndio waruhusiwe.

Nikiwa jeshini nilikuwa mmoja wa waandaa risala, mgeni rasmi alikuwa mtu mzito hivyo huambatana na TBC live na vyombo vingine.

Ile risala ilipitia hatua nyingi sana mpaka kukubaliwa , kila hatua waliihariri.
 
Hahaha
1000017613.jpg
 
Television ya Taifa au Radio ya Taifa hasa Taifa hili la Tanzania halirushi kitu live bila kuwa programmed.

Mbowe alishapangwa na walishakubaliana nini akaongee.

Hata Masheikh na Maaskofu ili Dua zao zirushwe live lazima waonyeshe kwanza hizo dua ndio waruhusiwe.

Nikiwa jeshini nilikuwa mmoja wa waandaa risala, mgeni rasmi alikuwa mtu mzito hivyo huambatana na TBC live na vyombo vingine.

Ile risala ilipitia hatua nyingi sana mpaka kukubaliwa , kila hatua waliihariri.
Mtasema sana.

Amandla...
 
Back
Top Bottom