Tarime one
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 2,246
- 1,733
cha KWANZA NI MUNGU......
tuliza akili mimi baba angu alisema wekeza kwenye ARDI as u can...nunua kiwanja kwanza tafta pesa ya kujeng then nunua gari ambalo litakusidia hta kubebea vifaa vidogo dogo wenye buti kwa ajili ya ujenzi
mwanamke weka mbali...timiza malengo ndo ufikirie suala la kuoa na kuwa na familia
best wishers
Ha ha haa. Kweli maisha yanategemeana. We uanze kujenga nyumba (gari huna) hlf unamshauri mwenzako anunue gari hlf aje kupanga kwako ili ww uwe unapewa lift. Tena hapo asipokupa lift lazima ahame kwenye nyumba yako teh teh.Mkuu kujenga nyumba ni woga wa maisha tuu nunua gari mie nyumba ya kupanga nitakupangisha ila utakuwa unanipa lift mzee asubuhi .....
Ha ha haa. Kweli maisha yanategemeana. We uanze kujenga nyumba (gari huna) hlf unamshauri mwenzako anunue gari hlf aje kupanga kwako ili ww uwe unapewa lift. Tena hapo asipokupa lift lazima ahame kwenye nyumba yako teh teh.
Unaweza jaribu kutimiza malengo kumbuka umri haukusubiri utajikuta unaitwa babu hujatimiza malengo,ulichonacho mkononi ndo chako jipange na kujiwekea deadline ya malengo yako,sio muda wa kuoa umefika unasema bado malengo hayajatimia lazima sometime plan zinachange.
Hayo masihara sasa, labda akaoe kwa watoto wa vigogo.......Anza na mke,ukioa wawili itakupa fursa ya kupata nyumba na gar kiurahisi
...kila mtu na mapenzi yake duniani
wengine magari
wengine majumba
wengine Mungu
wengine ni furaha maana unaweza kuwa na gari nyumba pesa ila huna furaha
wengine ni amani tu ya moyo, hata akiishi nyumba ya udongo mradi ana amani anaishi kwa furaha
wengine mradi anakula, akiumwa anaenda hospitali kwake yeye ni mafanikio tosha
ni kweli usemayo kama umri umemtupa aoe asije kuchelewa vyote...ila itamgharimu sana kutimiza malengo ya nyumba na gari kama atapata mwanamke ambaye hatompa ushirikiano kwenye hilo suala...na akipata mwanamke mzuri na mwelewa wakipeana ushirikiano watafikia kwa haraka...
pia kama anategemea mkopo au mshahara bila biashara itamsumbua na itamchukua muda raha ya pesa inatoka na nyingine inaingia
inajenga heshima na kujiamin as father of familly kufanya yale ya wajibu wako blila kumtegemea mwanamke kwa asilimia kubwa
Yaani kama maisha ya chuo vile, kama mnakaa room 1, room mate wako akiwa na handout flani we unatafuta handout ambayo yeye hana. Mwisho wa cku mna-share material huku mna-save cost.Haha...tehe umeona asee acha tuu akininyima lift ...napandisha kodi atahama tuu
Tanguliza mtoto.
Tanguliza mtoto.
Niko job of sin kuna Mfanyakazi mwenzangu kaja na fomu ya mkopo wa bank nilipojaribu kuisoma kujua mashariti Tao nimegundua kipengele cha dhumuni la mkopo ikanibidi ma Mimi nivae viatu vya muhusika nikafikiria mambo matatu ya kuanza nayo maishani napenda sana kuwa na gari pia napenda kuwa na familia yaani mke na watoto tatu napenda kuwa na kwangu yaani nyumba yangu haya yote yanahitaji maandalizi yaani pesa njia panda yangu ni kwamba kipi kikianza kitanipa urahisi wa kupata mawili yaliobaki nikianza na mke nitapata gari na Nyumba maana matumizi yataongezeka au nikianza ujenzi nitakaa muda bila kuoa naomba ushauri kipi nianze nacho.
Wote wenye watoto wana wake?
niko job of sin kuna mfanyakazi mwenzangu kaja na fomu ya mkopo wa bank nilipojaribu kuisoma kujua mashariti tao nimegundua kipengele cha dhumuni la mkopo ikanibidi ma mimi nivae viatu vya muhusika nikafikiria mambo matatu ya kuanza nayo maishani napenda sana kuwa na gari pia napenda kuwa na familia yaani mke na watoto tatu napenda kuwa na kwangu yaani nyumba yangu haya yote yanahitaji maandalizi yaani pesa njia panda yangu ni kwamba kipi kikianza kitanipa urahisi wa kupata mawili yaliobaki nikianza na mke nitapata gari na nyumba maana matumizi yataongezeka au nikianza ujenzi nitakaa muda bila kuoa naomba ushauri kipi nianze nacho.