Kwanini sasa jamani!!Kuna nyuzi ukishasoma tu unajua zinakubagua...
Ngoja nile Kona mie..[emoji23]
Samahani kwanza naweza kujua jinsia yako..??Kwann sasa jamani!!
Samahani kwanza naweza kujua jinsia yako..??
[emoji23][emoji23][emoji23] we jamaaKuna nyuzi ukishasoma tu unajua zinakubagua...
Ngoja nile Kona mie..[emoji23]
ππππnilijua tu, watu wa seoul hatupotezi sekundeAuntie huo muda wa kupanga si bora nifaidi kdrama mie na ubuyu wa instaπππππ
ππππnilijua tu, watu wa seoul hatupotezi sekunde
LolπWatu tupo tofauti, Mimi raqha yangu ni kupanga nguo, nikijiona zangu nipo down naenda kabatini nashusha nguo zote naanza kuzipanga upya huku nazijaribisha, najiangalia kwenye kioo huku nimeweka mziki wangu nacheza cheza, nikimaliza hapo, eeeh' mwepesi na huzuni moyoni imepungua..!
Shuka jeupe ni favorite, hapa nimetandika shuka jeupe na kimtandio kwa juu nabiringita zangu kitandani kwa amani maana najua halichafuki..! π