Ili uwe na mpangilio mzuri wa nguo kwenye begi au kwenye kabati huwa unapanga kila baada ya muda gani?

Ili uwe na mpangilio mzuri wa nguo kwenye begi au kwenye kabati huwa unapanga kila baada ya muda gani?

Lol😃
Napenda kupanga once in a while
Hivyo i make sure zikishafuliwa zinakunjwa kabisa ili zikae in order na zingine
Hata kutafuta nguo ya kuvaa inakua rahisi
Kupanga napanga vizuri kabisa.. Ila kile kitendo cha kuanza kujaribisha nguo nakipeeenda, naanza kupangilia hata nguo ambazo haziendani navaa najitazama kwenye kioo, najaribu zangu catwalk chubby mie naishia kujicheeeka, basi ndiyo namna yangu ya kutoa stress..
 
nabadili shuka kila baada ya siku tatu , hakuna kitu nakereka kama kupanga nguo kabatini,na hata nikipanga nitataka kuvaa nguo ya chini hivo saa nyingine unakuta nguo iko mwisho karibu na ukuta wa kabati nazivurugua zote muda wa kuchakura sina nikiipata navaa nikija kupanga tena mwendo ni huohuo
 
nabadili shuka kila baada ya siku tatu , hakuna kitu nakereka kama kupanga nguo kabatini,na hata nikipanga nitataka kuvaa nguo ya chini hivo saa nyingine unakuta nguo iko mwisho karibu na ukuta wa kabati nazivurugua zote muda wa kuchakura sina nikiipata navaa nikija kupanga tena mwendo ni huohuo
[emoji23][emoji23][emoji23]tuko wengi
 
[emoji23][emoji23][emoji23]tuko wengi
halafu muda mwengine najisemea ngoja hii ikae juu sjivaa muda yan siku nayokuja kutafta nguo hata skumbuki kama kuna nguo iko juu haijavaliwa muda nitazitupa chini nikishaipata narudisha nguo kama zimetoka shimoni siku nikiwa na muda nitapas nguo nayotaka ntavaa nikiwa na muda tena ndio napanga na sjui ni kwa nini hua hivo
 
halafu muda mwengine najisemea ngoja hii ikae juu sjivaa muda yan siku nayokuja kutafta nguo hata skumbuki kama kuna nguo iko juu haijavaliwa muda nitazitupa chini nikishaipata narudisha nguo kama zimetoka shimoni siku nikiwa na muda nitapas nguo nayotaka ntavaa nikiwa na muda tena ndio napanga na sjui ni kwa nini hua hivo
[emoji23][emoji23]Mimi Kama wewe tu hatuchekani wakati natafta nguo hushusha kabati zima natafta nguo ya kuvaa siioni na ninazo nyingi kweli, sikuhizi kabati silitilii maana kabisa nguo nyingi Bora nimeweka kwa begi huko sivurugi Sana, na kabatini huwa namubembeleza mdogo wangu anipangie Ila nilipata safari nafurumua zote Hadi alishakata tamaa.
 
[emoji23][emoji23]Mimi Kama wewe tu hatuchekani wakati natafta nguo hushusha kabati zima natafta nguo ya kuvaa siioni na ninazo nyingi kweli, sikuhizi kabati silitilii maana kabisa nguo nyingi Bora nimeweka kwa begi huko sivurugi Sana, na kabatini huwa namubembeleza mdogo wangu anipangie Ila nilipata safari nafurumua zote Hadi alishakata tamaa.
😂😂😂😂 sio mchezo
 
Mimi nabadilisha shuka kila week...na mashuka meuope, na Mengine ya mchanganyiko wa wangi...

Kupanga nguo kwenye kabati pia Ni kwa week Mara Moja...nikifua nakunza napanga .
 
Mimi napenda sana kitanda yani bora nisipange nguo ila kitanda changu kiwe smart natandika shuka langu lolote lile japo napenda sana jeupe as I said natandika kitandani hadi linyoke vizuri naakikisha kila pembe ya kitanda imekaa sawa nachukua pasi naanza kunyoosha shuka kitanda kizima na kitanda changu always kinaegemea kwenye main switch ili niweze kunyoosha shuka langu vizuri kabisa
Upo viZuri...sijawai nyoosha shuka...kwanza kunyoosha sipendi..nanyooshaga TU basi
 
Mpangilio ni muda wote
Order brings peace of mind

Tumezipanga kwa makundi ili zisiharibike muda wa matumizi

Mfano suruali zinakaa peke yake,gauni peke yake,casual,skirts,za ndani nk inshort kila aina ipo separate

shuka white na bright colors with mixed patterns
Tupo the same dea.
 
Back
Top Bottom