Ili uwe na mpangilio mzuri wa nguo kwenye begi au kwenye kabati huwa unapanga kila baada ya muda gani?

Lol๐Ÿ˜ƒ
Napenda kupanga once in a while
Hivyo i make sure zikishafuliwa zinakunjwa kabisa ili zikae in order na zingine
Hata kutafuta nguo ya kuvaa inakua rahisi
Kupanga napanga vizuri kabisa.. Ila kile kitendo cha kuanza kujaribisha nguo nakipeeenda, naanza kupangilia hata nguo ambazo haziendani navaa najitazama kwenye kioo, najaribu zangu catwalk chubby mie naishia kujicheeeka, basi ndiyo namna yangu ya kutoa stress..
 
nabadili shuka kila baada ya siku tatu , hakuna kitu nakereka kama kupanga nguo kabatini,na hata nikipanga nitataka kuvaa nguo ya chini hivo saa nyingine unakuta nguo iko mwisho karibu na ukuta wa kabati nazivurugua zote muda wa kuchakura sina nikiipata navaa nikija kupanga tena mwendo ni huohuo
 
[emoji23][emoji23][emoji23]tuko wengi
 
[emoji23][emoji23][emoji23]tuko wengi
halafu muda mwengine najisemea ngoja hii ikae juu sjivaa muda yan siku nayokuja kutafta nguo hata skumbuki kama kuna nguo iko juu haijavaliwa muda nitazitupa chini nikishaipata narudisha nguo kama zimetoka shimoni siku nikiwa na muda nitapas nguo nayotaka ntavaa nikiwa na muda tena ndio napanga na sjui ni kwa nini hua hivo
 
[emoji23][emoji23]Mimi Kama wewe tu hatuchekani wakati natafta nguo hushusha kabati zima natafta nguo ya kuvaa siioni na ninazo nyingi kweli, sikuhizi kabati silitilii maana kabisa nguo nyingi Bora nimeweka kwa begi huko sivurugi Sana, na kabatini huwa namubembeleza mdogo wangu anipangie Ila nilipata safari nafurumua zote Hadi alishakata tamaa.
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ sio mchezo
 
Mimi nabadilisha shuka kila week...na mashuka meuope, na Mengine ya mchanganyiko wa wangi...

Kupanga nguo kwenye kabati pia Ni kwa week Mara Moja...nikifua nakunza napanga .
 
Upo viZuri...sijawai nyoosha shuka...kwanza kunyoosha sipendi..nanyooshaga TU basi
 
Tupo the same dea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ