Uchaguzi 2020 Ili uweze kuwa kiongozi wa Taifa lolote hapa Duniani ni lazima uwe na uungwaji mkono na kamati ya Ulinzi na Usalama ya Taifa husika

Uchaguzi 2020 Ili uweze kuwa kiongozi wa Taifa lolote hapa Duniani ni lazima uwe na uungwaji mkono na kamati ya Ulinzi na Usalama ya Taifa husika

Uongozi ni pamoja na wewe kuungwa mkono na kamati husika niliyoitaja hapo juu tofauti na hapo ni kupoteza muda tu.

Kamati hii inawajumuisha wafuatao:

Rais aliyepo madarakani japokuwa si muhimu akuunge.

Mkuu wa majeshi.

Mkuu wa Jeshi la Polisi.

Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa.

Mkuu wa Magereza.

Mkuu wa Uhamiaji.

Kamishna wa kudhibiti madawa ya kulevya.

...na Marais wastaafu japokuwa ni waalikwa.

Ndugu yangu bila uungwaji wa mkono na hao jamaa hapo juu wala huna haja ya kupoteza muda.

Kwa gharama "yeyote" na kwa namna "yeyote" ili uweze kufanikiwa kuwa mkuu wa Nchi lazima baadhi ya hao wawe upande wako na kama ni vinginevyo bora Nchi waichukie wao kuliko kikaragosi fulani..
Naongezea hapo siyo kikaragosi tu bali mjinga yoyote yule ambaye hajulikani anakoelekea wala anakotokea.
 
Uongozi ni pamoja na wewe kuungwa mkono na kamati husika niliyoitaja hapo juu tofauti na hapo ni kupoteza muda tu.

Kamati hii inawajumuisha wafuatao:

Rais aliyepo madarakani japokuwa si muhimu akuunge.

Mkuu wa majeshi.

Mkuu wa Jeshi la Polisi.

Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa.

Mkuu wa Magereza.

Mkuu wa Uhamiaji.

Kamishna wa kudhibiti madawa ya kulevya.

...na Marais wastaafu japokuwa ni waalikwa.

Ndugu yangu bila uungwaji wa mkono na hao jamaa hapo juu wala huna haja ya kupoteza muda.

Kwa gharama "yeyote" na kwa namna "yeyote" ili uweze kufanikiwa kuwa mkuu wa Nchi lazima baadhi ya hao wawe upande wako na kama ni vinginevyo bora Nchi waichukie wao kuliko kikaragosi fulani..
Huu ni ujinga wako msipotoshwe na kibaraka huyu hakuna ukweli wowote.
 
Shida kubwa ya Watanzania mambo yetu ni ya Kufikirika na Kidhanifu yote. Yaani tunadhani kila nchi inafanana na mfumo wa ovyo kama wetu.

Hao wote uliotaja leo ikitokea machafuko watatoa Amri na hakuna atakayetii hata mmoja. Mabeyo ataongea na Luteni usu tu atamnyooshea dole la Kati
 
Kwa hiyo tunavyo piga kura hiyo kamati inatuchabo tuu,basi wawe Wana tutangazia tuu kuwa wamempa nani hao kamati!!!
Ila safari hii tuna anza kwenye box la kura then hiyo kamati ikituchanganya tuna lala nayo mbele tupo ready kuwa tiketi zao za kwenda ze hegiii!!!

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Uongozi ni pamoja na wewe kuungwa mkono na kamati husika niliyoitaja hapo juu tofauti na hapo ni kupoteza muda tu.

Kamati hii inawajumuisha wafuatao:

Rais aliyepo madarakani japokuwa si muhimu akuunge.

Mkuu wa majeshi.

Mkuu wa Jeshi la Polisi.

Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa.

Mkuu wa Magereza.

Mkuu wa Uhamiaji.

Kamishna wa kudhibiti madawa ya kulevya.

...na Marais wastaafu japokuwa ni waalikwa.

Ndugu yangu bila uungwaji wa mkono na hao jamaa hapo juu wala huna haja ya kupoteza muda.

Kwa gharama "yeyote" na kwa namna "yeyote" ili uweze kufanikiwa kuwa mkuu wa Nchi lazima baadhi ya hao wawe upande wako na kama ni vinginevyo bora Nchi waichukie wao kuliko kikaragosi fulani..
It is only in Tanzania ndio kuna ujinga kama.huo
 
Uongozi ni pamoja na wewe kuungwa mkono na kamati husika niliyoitaja hapo juu tofauti na hapo ni kupoteza muda tu.

Kamati hii inawajumuisha wafuatao:

Rais aliyepo madarakani japokuwa si muhimu akuunge.

Mkuu wa majeshi.

Mkuu wa Jeshi la Polisi.

Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa.

Mkuu wa Magereza.

Mkuu wa Uhamiaji.

Kamishna wa kudhibiti madawa ya kulevya.

...na Marais wastaafu japokuwa ni waalikwa.

Ndugu yangu bila uungwaji wa mkono na hao jamaa hapo juu wala huna haja ya kupoteza muda.

Kwa gharama "yeyote" na kwa namna "yeyote" ili uweze kufanikiwa kuwa mkuu wa Nchi lazima baadhi ya hao wawe upande wako na kama ni vinginevyo bora Nchi waichukie wao kuliko kikaragosi fulani..
Mtajua hamjui mwaka huu
 
Uongozi ni pamoja na wewe kuungwa mkono na kamati husika niliyoitaja hapo juu tofauti na hapo ni kupoteza muda tu.

Kamati hii inawajumuisha wafuatao:

Rais aliyepo madarakani japokuwa si muhimu akuunge.

Mkuu wa majeshi.

Mkuu wa Jeshi la Polisi.

Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa.

Mkuu wa Magereza.

Mkuu wa Uhamiaji.

Kamishna wa kudhibiti madawa ya kulevya.

...na Marais wastaafu japokuwa ni waalikwa.

Ndugu yangu bila uungwaji wa mkono na hao jamaa hapo juu wala huna haja ya kupoteza muda.

Kwa gharama "yeyote" na kwa namna "yeyote" ili uweze kufanikiwa kuwa mkuu wa Nchi lazima baadhi ya hao wawe upande wako na kama ni vinginevyo bora Nchi waichukie wao kuliko kikaragosi fulani..


HAO WOTE NI MAKADA WA CCM KINDAKINDAKI UNATEGEMA NINI?
 
Sasa unajuaje kama hawamuungi mkono yule wa upinzani?kumbuka moyo ni kiza kinene
 
Uongozi ni pamoja na wewe kuungwa mkono na kamati husika niliyoitaja hapo juu tofauti na hapo ni kupoteza muda tu.

Kamati hii inawajumuisha wafuatao:

Rais aliyepo madarakani japokuwa si muhimu akuunge.

Mkuu wa majeshi.

Mkuu wa Jeshi la Polisi.

Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa.

Mkuu wa Magereza.

Mkuu wa Uhamiaji.

Kamishna wa kudhibiti madawa ya kulevya.

...na Marais wastaafu japokuwa ni waalikwa.

Ndugu yangu bila uungwaji wa mkono na hao jamaa hapo juu wala huna haja ya kupoteza muda.

Kwa gharama "yeyote" na kwa namna "yeyote" ili uweze kufanikiwa kuwa mkuu wa Nchi lazima baadhi ya hao wawe upande wako na kama ni vinginevyo bora Nchi waichukie wao kuliko kikaragosi fulani..
U-IGP ni cheo cha kudumu kwamba kuna ankimiliki kama Mali yake?
 
Back
Top Bottom