Meshacky Allyson
Senior Member
- Oct 29, 2020
- 127
- 251
Wakuu, salamu,
Jambo linalonileta kwenu ni hayo inayoendelea sasa, zamani kdg nilianza kushangaaa idadi ya wadada kuvaa vikuku mguuni ikiongezeka sikuelewa ni nn, maana nachojua ni wamasai mara nyingi huwa ndio culture yao..,
Sasa now dayz limeanza wimbi kubwaa la wadada kutoboa pua ni kama vile wanaambiana yaan sielewi ni nn. Maana yake, wakuu hebu nipeni ufafanuzi nn maana yake kama una uzoefu wowote wa wadada wenye mabo ya aina hiyo, tupe muongozo...
Maana naona tunakoelekea siko [emoji22][emoji24]
Jambo linalonileta kwenu ni hayo inayoendelea sasa, zamani kdg nilianza kushangaaa idadi ya wadada kuvaa vikuku mguuni ikiongezeka sikuelewa ni nn, maana nachojua ni wamasai mara nyingi huwa ndio culture yao..,
Sasa now dayz limeanza wimbi kubwaa la wadada kutoboa pua ni kama vile wanaambiana yaan sielewi ni nn. Maana yake, wakuu hebu nipeni ufafanuzi nn maana yake kama una uzoefu wowote wa wadada wenye mabo ya aina hiyo, tupe muongozo...
Maana naona tunakoelekea siko [emoji22][emoji24]