GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wabobezi hayo Matundu ( Matobo ) huwa tunayaona sana huko tukiwa tunatiririka na kuserereka napo.Watoboe hata tigo zao hakuna shida!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabobezi hayo Matundu ( Matobo ) huwa tunayaona sana huko tukiwa tunatiririka na kuserereka napo.Watoboe hata tigo zao hakuna shida!
Huyu sio mwanaume muangalie vizurBora hata wanawake ni urembo na wanaume wavaa vipini je?
View attachment 2314355
Kuna wale wanatoboa pale katkat ya pua wananing'iniza Ring kama Ng'ombe Daaah aga wananikera sana hata sura zao zinanitisha punda wale[emoji2961]Ukitoboa pua nakua nakuona kama una kamasi hivi najisahau nakua natamani nikuambie ujifute puani.
Wakuu , salamu , jambo linalonileta kwenu ni hayo inayoendelea sasa , zamani kdg nilianza kushangaaa idadi ya wadada kuvaa vikuku mguuni ikiongezeka sikuelewa ni nn , maana nachojua ni wamasai mara nyingi huwa ndio culture yao.. , sasa now dayz limeanza wimbi kubwaa la wadada kutoboa pua ni kama vile wanaambiana yaan sielewi ni nn. Maana yake , wakuu hebu nipeni ufafanuzi nn maana yake kama una uzoefu wowote wa wadada wenye mabo ya aina hiyo , tupe muongozo...
Maana naona tunakoelekea siko [emoji22][emoji24]
Sure bro like me ndivyo navyoona yaan uswahili sanaa..Haina ubaya ila ni stereotypical ideas ambazo tumejijazia... mimi nkimuona mwanamke katoboa pua huwa nahis ni wale waswahili sana probably siko sahihihi ila
Inabid nichukue muda kidg ni adjust na mtazamo
Kuna dada hapa heleni 3 sikio moja na ametoboa na pua na ni mzawa kabisaa wa pwaniSure bro like me ndivyo navyoona yaan uswahili sanaa..
Hawa wanawake wa sikuhiz NI VYOMBO VYA STAREHE TU, ukimaliza haja zako unamdampo akafie mbele na fashion zake za kipumbav...