Meshacky Allyson
Senior Member
- Oct 29, 2020
- 127
- 251
Waache warembo watambe na fashion zao mkuuWakuu , salamu , jambo linalonileta kwenu ni hayo inayoendelea sasa , zamani kdg nilianza kushangaaa idadi ya wadada kuvaa vikuku mguuni ikiongezeka sikuelewa ni nn , maana nachojua ni wamasai mara nyingi huwa ndio culture yao.. , sasa now dayz limeanza wimbi kubwaa la wadada kutoboa pua ni kama vile wanaambiana yaan sielewi ni nn. Maana yake , wakuu hebu nipeni ufafanuzi nn maana yake kama una uzoefu wowote wa wadada wenye mabo ya aina hiyo , tupe muongozo...
Maana naona tunakoelekea siko [emoji22][emoji24]
Wanaliwa haoBora hata wanawake ni urembo na wanaume wavaa vipini je?
View attachment 2314355
KabisaaWanaliwa hao
Last Sunday nimekutana mwanaume Sinza karibu na KKKT pale barabarani naye kawaiga, nahisi kuna mashindano yanaendelea ila wengi hatujuiWakuu , salamu , jambo linalonileta kwenu ni hayo inayoendelea sasa , zamani kdg nilianza kushangaaa idadi ya wadada kuvaa vikuku mguuni ikiongezeka sikuelewa ni nn , maana nachojua ni wamasai mara nyingi huwa ndio culture yao.. , sasa now dayz limeanza wimbi kubwaa la wadada kutoboa pua ni kama vile wanaambiana yaan sielewi ni nn. Maana yake , wakuu hebu nipeni ufafanuzi nn maana yake kama una uzoefu wowote wa wadada wenye mabo ya aina hiyo , tupe muongozo...
Maana naona tunakoelekea siko [emoji22][emoji24]
Ni marioo tuBora hata wanawake ni urembo na wanaume wavaa vipini je?
View attachment 2314355
Umewahi ishi Mtwara, uku mwanamke kutoboa pua ni kawaida si mjini hadi vijijiniWakuu , salamu , jambo linalonileta kwenu ni hayo inayoendelea sasa , zamani kdg nilianza kushangaaa idadi ya wadada kuvaa vikuku mguuni ikiongezeka sikuelewa ni nn , maana nachojua ni wamasai mara nyingi huwa ndio culture yao.. , sasa now dayz limeanza wimbi kubwaa la wadada kutoboa pua ni kama vile wanaambiana yaan sielewi ni nn. Maana yake , wakuu hebu nipeni ufafanuzi nn maana yake kama una uzoefu wowote wa wadada wenye mabo ya aina hiyo , tupe muongozo...
Maana naona tunakoelekea siko [emoji22][emoji24]
Sam missago sio yyBora hata wanawake ni urembo na wanaume wavaa vipini je?
View attachment 2314355
Marioo huyoSam missago sio yy
Tunawaitaga wanyasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tujaalie umri wako.
Watokea bara au pwani?
Hata kama watokea bara basi ni ndanindani sana.