Ilianza vikuku sasa ni kutoboa pua na vipini

Ukitoboa pua nakua nakuona kama una kamasi hivi najisahau nakua natamani nikuambie ujifute puani.
 

Unataka ugundue nini
 
Ni urembo tu, ila hapa ndio huwa siwaelewi tu🐒

 
Haina ubaya ila ni stereotypical ideas ambazo tumejijazia... mimi nkimuona mwanamke katoboa pua huwa nahis ni wale waswahili sana probably siko sahihi ila

Inabid nichukue muda kidg ni adjust na mtazamo
 
Haina ubaya ila ni stereotypical ideas ambazo tumejijazia... mimi nkimuona mwanamke katoboa pua huwa nahis ni wale waswahili sana probably siko sahihihi ila

Inabid nichukue muda kidg ni adjust na mtazamo
Sure bro like me ndivyo navyoona yaan uswahili sanaa..
 
Hawa wanawake wa sikuhiz NI VYOMBO VYA STAREHE TU, ukimaliza haja zako unamdampo akafie mbele na fashion zake za kipumbav...
 
Fashion ipi ni mpya?hyo picha imepigwa mwaka 1950 nchini marekani
Hawa wanawake wa sikuhiz NI VYOMBO VYA STAREHE TU, ukimaliza haja zako unamdampo akafie mbele na fashion zake za kipumbav...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…