Ilibaki kidogo mvua ziniharibia mazao yangu

Ilibaki kidogo mvua ziniharibia mazao yangu

Nililima maharage mwanzo mwishoni mwa mwezi wa tatu wilayani Hanang, baada ya hapo mvua zikaanza kunyesha mfululizo na ardhi niliyopanda ni mbuga nyeusi.

Yaani maharage yalitaka kuniacha nayaona hivi ila nashukuru Mungu amemipa maarifa ya kuyapambania
Namna ulivyoyapambania.
 
Mkuu hiyo ardhi ni nzuri sana kuitumia kwa ajili ya maharage ni underutilization
 
Mkuu hiyo ardhi ni nzuri sana kuitumia kwa ajili ya maharage ni underutilization
Uko sahihi mkuu napanga mwezi wa saba ndio nilime ekari 5 baada ya kuondoa haya na hali ya hewa itakuwa nzuri
 
Ushauri wadau mwenye kufahamu sumu ya kupalilia mchanganyiko wa mahindi na kunde vilivyopandwa kwa pamoja anijuze jina nikaitafute
 
Jazia nyama bado haujaeleweka vema juu ya yaliyokusibu
Kwasisi tulio pitapita pale quba tumesha muelewa mleta mada "anatulingishia shamba lake kwa jinsi lilivyo nawiri"....😊☺
 
Ushauri wadau mwenye kufahamu sumu ya kupalilia mchanganyiko wa mahindi na kunde vilivyopandwa kwa pamoja anijuze jina nikaitafute
Hakuna sumu ya hivyo mkuu maana hapo kuna mchanganyiko wa mazao tayari
 
Kwasisi tulio pitapita pale quba tumesha muelewa mleta mada "anatulingishia shamba lake kwa jinsi lilivyo nawiri"....[emoji4][emoji5]
Hiyo ni tafsiri yako ila Mimi nia yangu ni kuwapa moyo wakulima wenzangu kuwa japo kunaweza kuwa na hali mbaya ya hewa lakini bado unatakiwa kupambana to the maximum
 
Hiyo ni tafsiri yako ila Mimi nia yangu ni kuwapa moyo wakulima wenzangu kuwa japo kunaweza kuwa na hali mbaya ya hewa lakini bado unatakiwa kupambana to the maximum
Nikiwa mkweli hata nami umeni inspire sana, and kwa dhati nakupongeza sana hata hapo ulipo fanikiwa na Mungu azidi kuzibariki kazi za mikono yako...🙏
 
Nikiwa mkweli hata nami umeni inspire sana, and kwa dhati nakupongeza sana hata hapo ulipo fanikiwa na Mungu azidi kuzibariki kazi za mikono yako...[emoji120]
Tuko pamoja mkuu tupeane moyo maisha yaende
 
Naomb kuelimishwa kuhusu dawa za baridi,wengine tumekulia kwenye kilimo hai...mwaga mbolea ya wanyama unapiga mahindi,mtama nk .
Tumia follicular mkuu
 
Back
Top Bottom