Ilikua ni makosa kuipanua EAC nje ya Tanzania , Kenya na Uganda.

Shida ya Wanyarwanda na hasa Watusi, ni kupenda kujiona wao ni special race! Na hili litakuwa tatizo kubwa kwenye enelo la Maziwa makuu kama wataachwa waendelee na huu mtazamo wao hasi.
 
Naunga mkono hoja! Mpaka leo faida ya hii jumuia siioni.
Naona kilichobaki ni kugawana mbao kila nchi ifanye mambo yake kivyake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…