Tega sikio na leo, kwani Yanga wenyewe wanasemajeNini kilijiri siku hiyo hadi ikapelekea Yanga wakachabangwa goli 5-0 dhidi ya Simba?
Je Yanga waliingiza kikosi dhaifu? Je Simba walikuwa na kikosi imara? Au Yanga walikosea masharti ya mganga?
Karibuni kwa mjadala...
Kupanga Ni KuchaguaTega sikio na leo, kwani Yanga wenyewe wanasemaje
Nadhani kwa sasa swali lako limeshajibiwa kuwaa kila kitu ni wakati tuuIlikuwaje hadi Yanga akachukua kombe mara nyingi zaidi katika ligi kuu
Je simba walikuwa daraja la kwanza?, je simba walikuwa wakichezesha wanafunzi wa shule ya msingi?
Karibuni tukumbushane..