Ilikuaje Sudan Kaskazini ikawa na watu wenye rangi nyeupe (Waarabu) na Kusini kukawa na watu weusi?

Ilikuaje Sudan Kaskazini ikawa na watu wenye rangi nyeupe (Waarabu) na Kusini kukawa na watu weusi?

Requal

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2020
Posts
1,025
Reaction score
1,917
Sudan ilikuwa ni nchi moja kabla ya kugawanyika na kuwa nchi mbili hivi karibuni. Sasa binafsi nashangazwa kidogo kwa namna hii nchi ilivokuwa yaani kule kaskazini raia wa kule ni weupe peee mpaka nywele zao ambazo ni ndefu kama waarabu halafu wa kusini ni weusi tiiii nadhani Afrika nzima ndio wanaongoza kwa weusi.

Ilikuaje ikawa hivi?

Au wale wa kaskazini ni walowezi? Maana hawafanani hata kidogo japo ilikuwa nchi moja.
 
Biashara ya utumwa sana ili shamiri sana sudani na Wafanyabiashara wakubwa au mawakala wa biashara ya utumwa ni waarabu na ndio maana wao walipenda eneo la kaskazini kutokana na hali ya joto.

Na kusini hali ya hewa ni ya ubaridi.
Ahaa kwa hiyo wale wa kaskazini ni masalia ya waarabu?
 
Hakuna swali mkuu kama Mbulu weupee peee, singida weepe peee, Tabora wanayamwezi weupe peee, Zanzibar Wapemba weeupe peeee!!
 
Hakuna swali mkuu ,kama Mbulu weupee peee , singida weepe peee , tabora wanayamwezi weupe peee ,zanzibar wapemba weeupe peeee!!
Swali lipo sema tu hujajua jibu. Ukienda Zanzibar, Tabora, Singida utakutana na weusi wa kutosha. Yani huwezi mwambia mtu kutoka Senegal akwambie Zanzibar kuna watu gani akakwambia ni weupe tu, lakini ukiuliza yeyote Sudan Kaskazini kuna watu gani atakwambia weupe.
 
Swali lipo sema tu hujajua jibu. Ukienda Zanzibar, Tabora, Singida utakutana na weusi wa kutosha. Yani huwezi mwambia mtu kutoka Senegal akwambie Zanzibar kuna watu gani akakwambia ni weupe tu, lakini ukiuliza yeyote Sudan Kaskazini kuna watu gani atakwambia weupe.
Unataka kuniamba Sudani kusini hakuna halfcast/Shombe shombe? Unataka kuniambia Sudani kusini 100% ni weusi?
 
Hii hapa angalia
Screenshot_20200720-134343_Google.jpg
 
Swali lipo sema tu hujajua jibu. Ukienda Zanzibar, Tabora, Singida utakutana na weusi wa kutosha. Yani huwezi mwambia mtu kutoka Senegal akwambie Zanzibar kuna watu gani akakwambia ni weupe tu, lakini ukiuliza yeyote Sudan Kaskazini kuna watu gani atakwambia weupe.
Kabisa mkuu na hili ndilo ninalozungumzia.
 
Berlin Conference sijui Kama walijali habari ya kuweka mipaka kwa kuzingatia rangi.Walitugawa Kama vipande vya keki kwa vigezo walivyowekeana wenyewe..
😀😀😀
 
Kaskazini ipo zaidi kwa waafrica wa kaskazini ambao ni waarabu ama cushites, ukishuka chini unakutana na jamii za watu weusi kama Ug, Tz na kenya.

Naona ni mambo ya mpaka wa makazi na asili za kijamii zaidi mfano Tz kaskazini wengi ni warefu ila ukiingia kusini unakuta watu ni wafupi.. ukifuatisha bonde la ufa toka arusha hadi dodoma utakuta watu ni weupe ukitofautisha na maeneo mengine
 
Kaskazini ipo zaidi kwa waafrica wa kaskazini ambao ni waarabu ama cushites, ukishuka chini unakutana na jamii za watu weusi kama Ug, Tz na kenya.

Naona ni mambo ya mpaka wa makazi na asili za kijamii zaidi mfano Tz kaskazini wengi ni warefu ila ukiingia kusini unakuta watu ni wafupi.. ukifuatisha bonde la ufa toka arusha hadi dodoma utakuta watu ni weupe ukitofautisha na maeneo mengine
mbona libya imepakana na CHAD na NIGER alikuwa haiko kama sudan? au Algeria iliyopakana na Mali pamoja na Niger
 
Berlin Conference sijui Kama walijali habari ya kuweka mipaka kwa kuzingatia rangi.Walitugawa Kama vipande vya keki kwa vigezo walivyowekeana wenyewe..
Kama vpande vya keki[emoji28][emoji28]
 
mbona libya imepakana na CHAD na NIGER alikuwa haiko kama sudan?

Sasa hapo itabidi uingie deep ili ujue ni vipi watu walitawanyika wakati wanaanza kuingia katika hayo maeneo na vipi wakoloni waligawanya hizo nchi.

Nje na hapo huwezi kupata majibu
 
Back
Top Bottom