Requal
JF-Expert Member
- Jun 5, 2020
- 1,025
- 1,917
Sudan ilikuwa ni nchi moja kabla ya kugawanyika na kuwa nchi mbili hivi karibuni. Sasa binafsi nashangazwa kidogo kwa namna hii nchi ilivokuwa yaani kule kaskazini raia wa kule ni weupe peee mpaka nywele zao ambazo ni ndefu kama waarabu halafu wa kusini ni weusi tiiii nadhani Afrika nzima ndio wanaongoza kwa weusi.
Ilikuaje ikawa hivi?
Au wale wa kaskazini ni walowezi? Maana hawafanani hata kidogo japo ilikuwa nchi moja.
Ilikuaje ikawa hivi?
Au wale wa kaskazini ni walowezi? Maana hawafanani hata kidogo japo ilikuwa nchi moja.