Requal
JF-Expert Member
- Jun 5, 2020
- 1,025
- 1,917
- Thread starter
- #41
mkuu unaona hao wanafanana na wasudan kusini?Mkuu mada hii umeiandika kwa dhana.
Picha ya rais aliyepinduliwa Omar al Bashiri ni mweupe yule?
Je baraza linaloongoza serikali ya mpito umeona picha zao ni weupe wale?
Weusi na majiyakunde kama wasomali utasemaje weupe pee!