Ilikuwa busara kufungia Twitter, kujinaisha (criminalise) matumizi ya VPN na bado unawasiliana na wananchi kupitia Twitter?

Ilikuwa busara kufungia Twitter, kujinaisha (criminalise) matumizi ya VPN na bado unawasiliana na wananchi kupitia Twitter?

Mwanamayu

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2010
Posts
11,662
Reaction score
6,888
Hilo jambo bado linasumbua akili yangu kuona mamlaka inafungia Twitter, halafu inaweka kuwa kutumia VPN ni kosa la jinai. Halafu yenyewe inatumia VPN kuwasiliana na wananchi ambao hawatakiwi kutumia VPN kuifikia Twitter.

Nionavyo mimi, matumizi ya VPN yawe halali kisheria kwa sababu mamlaka imekuwa ikitumia VPN. Labda, kama walitumia njia nyingine, lakini tuijuayo sisi ni VPN.

Je, hii mamlaka ya namna hii ina baraka zote kweli za wananchi?
 
serika
Hilo jambo bado linasumbua akili yangu kuona mamlaka inafungia Twitter, halafu inaweka kuwa kutumia VPN ni kosa la jinai. Halafu yenyewe inatumia VPN kuwasiliana na wananchi ambao hawatakiwi kutumia VPN kuifikia Twitter.

Nionavyo mimi, matumizi ya VPN yawe halali kisheria kwa sababu mamlaka imekuwa ikitumia VPN. Labda, kama walitumia njia nyingine, lakini tuijuayo sisi ni VPN.

Je, hii mamlaka ya namna hii ina baraka zote kweli za wananchi?
serikali ya magufuli ilikuwa serikali ya hovyo kwenye huu uso wa dunia.
 
Hilo jambo bado linasumbua akili yangu kuona mamlaka inafungia Twitter, halafu inaweka kuwa kutumia VPN ni kosa la jinai. Halafu yenyewe inatumia VPN kuwasiliana na wananchi ambao hawatakiwi kutumia VPN kuifikia Twitter.

Nionavyo mimi, matumizi ya VPN yawe halali kisheria kwa sababu mamlaka imekuwa ikitumia VPN. Labda, kama walitumia njia nyingine, lakini tuijuayo sisi ni VPN.

Je, hii mamlaka ya namna hii ina baraka zote kweli za wananchi?
Sawa tu mtu eti anajidai anahutubia taifa. Kaputi mkubwa.
 
Hilo jambo bado linasumbua akili yangu kuona mamlaka inafungia Twitter, halafu inaweka kuwa kutumia VPN ni kosa la jinai. Halafu yenyewe inatumia VPN kuwasiliana na wananchi ambao hawatakiwi kutumia VPN kuifikia Twitter.

Nionavyo mimi, matumizi ya VPN yawe halali kisheria kwa sababu mamlaka imekuwa ikitumia VPN. Labda, kama walitumia njia nyingine, lakini tuijuayo sisi ni VPN.

Je, hii mamlaka ya namna hii ina baraka zote kweli za wananchi?
Hiki nacho kilikuwa kituko cha karne, walitaka kutuweka gizani wao pekee wapate habari za nga'mbo halafu waje kutwambia wameota hiki na hiki kitatokea ulaya......
 
Back
Top Bottom