Ilikuwa hailali lakini sasa ahueni yapata usingizi wa pono. lol

Ilikuwa hailali lakini sasa ahueni yapata usingizi wa pono. lol

bado hajaishiwa,ameupiga umaskini teke kwa muda. she is preparing for new force of her market demand

unakaribia kulijua jibu.......sasa funguka ana umri gani?
 
kiubavuubavu ndio vipi?

mada zangu zote humu mmu leo ni mafumbo....................bila ya kujaribu kujibu utakimbilia njia pana ya majibu mepesi............not always what you see is what you get.......................think hard Gaijan.........tafuta majibu yake khalafu utaelewa kuwa nimekuja kiubavuubavu........................
 
mada zangu zote humu mmu leo ni mafumbo....................bila ya kujaribu kujibu utakimbilia njia pana ya majibu mepesi............not always what you see is what you get.......................think hard Gaijan.........tafuta majibu yake khalafu utaelewa kuwa nimekuja kiubavuubavu........................

I thought hard and "OMG, its a waste of space! yeeey"
 
Kati ya miaka 17-20, sbb ya kufanya hivyo kwanza hicho ni kipindi cha foolish age na bado alikuwa hajakomaa kiakili na alikua hajajitambua na sbb ya kuacha kwa sasa ameishajitambua na kugundua kuwa alichokuwa anafanya hakikuwa sahihi na sasa kashapata akili ya kuchanganua kujua kibaya na chema

umelikaribia jibu...........reasoning yako ni karibu sahihi................ingawaje siruhusiwi kukupa jibu......ila nitakupa hint moja.........sasa atakuwa na umri gani?
 
I thought hard and "OMG, its a waste of space! yeeey"

reasoning capacity is an ordained gift from God
...............you either have it and use it or you simply do not have it; and, even if you have it and do not use you simply lose it..........Best of wishes.............soma majibu ya wenzio may be you we learn something even f you are slightly suffering from dementia or autism.......
 

reasoning capacity is an ordained gift from God
...............you either have it and use it or you simply do not have it; and, even if you have it and do not use you simply lose it..........Best of wishes.............soma majibu ya wenzio may be you we learn something even f you are slightly suffering from dementia or autism.......

Totally! The dots just freeze my mind
 
Kumbe mwanadamu achana naye kwani akiamua jambo lake na kulikamia lawezekana tu..................huyu binti alibatizwa jina la 'hailali" kwa sababu kwa jinsi ambavyo alikuwa akiipigiza mtaani ile mali yake......................lakini baada ya kujua ya kuwa "wahudumiwa" wamemfunga bao la kisigino kwa shukrani za mateke ya punda......................basi naye akanuia ya kuwa ile kitu yake nayo imenuna kwa kashfa hizo....................

kwa hiyo binti akaamua kuachana na "umama huruma"......................na sasa kabandika kufuli la "viro"..........."wahudumiwa" baada ya kuona siku hizi mambo yamebadilika...........lol wamekuja juu na kuanza kumkashifu kuwa kufuli hilo la "viro" wanamkakati wa kulibomoa..........................wakidai hiyo siyo kufuli ya "solex" kwa hiyo watamrudisha kwenye laini...............lakini yeye kadinda mtoto wa watu kuwa sasa ina ahueni kwani inapata usingizi wa pono....................

Swali unafikiri huyu binti ana umri gani?


Ruta leo uliamkia ubavu gani aise
Maana naona topic za leo ni balaa
 
Acheni kuzunguka, dogo alikuwa anakutana na wababaishaji tu. Siku si akajichanganya kwenye 9 inches! Unajua kilichotokea? Mpaka leo hataki tena
 
Totally! The dots just freeze my mind

May be it is not the dots that freezes your mind...........................maybe you just hate my guts.....................or maybe there something else you are afraid of conceding.........................because of your insecurities...................

Proverb 26:24 "He who hates, disguises it with his lips, and lays up deceit within himself."
 
Ruta leo uliamkia ubavu gani aise
Maana naona topic za leo ni balaa

ni matunda ya kuchungulia sana mtanandaoni ninakutana na mengi na kwa vile siyo mchoyo basi yabidi nimwateremshie kidogodogo.....................
 
Acheni kuzunguka, dogo alikuwa anakutana na wababaishaji tu. Siku si akajichanganya kwenye 9 inches! Unajua kilichotokea? Mpaka leo hataki tena

saizi sidhani kama ni ishu pale................................bali umri ndiyo umemshtua....................ana miaka mingapi..............bado hujajibu.......................
 
21 na kuendelea

lol..........Aisha Adam umri huo hawezi kushtuka bado..............................hadi usoogee zaidi...................jaribu tena...
 
kama wewe tu

umri wangu............lol..........nimekula chumvi mingi vinginevyo angelikuwa kakata tamaa..........................bado wamo sana huyu binti usimzeeshe...............
 
lol..........Aisha Adam umri huo hawezi kushtuka bado..............................hadi usoogee zaidi...................jaribu tena...

Bwana Ruta kwa umri huo wapo ambao wanaweza kushutuka kulingana na malezi waliyonayo pamoja na jamii iliyomzunguka kwan wapo wengine wana miaka 30 ukimlimganisha na wa miaka 21 unaona bora wa 21 kuliko wa 30 hiyo ni kutokana na kutofautiana kwa malezi na jamii nzima inayowazunguka
 
Back
Top Bottom