Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,433
- 8,585
Nilishangaa kutokumuona Gerson Fraga katika First Eleven pia hakuwepo katika bench la wachezaji wa akiba mkude alikata pumzi mapema kipindi cha kwanza na nje hakukuwa na mbadala wake maana hakuwepo Fraga wala Shiboub
hii ilichangia Gongowazi kupata sare
kingine manula jamani kwani ana nini cha ziada kwani akikaa bechi anakufa mbina hatuelewei jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
hii ilichangia Gongowazi kupata sare
kingine manula jamani kwani ana nini cha ziada kwani akikaa bechi anakufa mbina hatuelewei jamani
Sent using Jamii Forums mobile app