Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,433
- 8,585
Nilishangaa kutokumuona Gerson Fraga katika First Eleven pia hakuwepo katika bench la wachezaji wa akiba mkude alikata pumzi mapema kipindi cha kwanza na nje hakukuwa na mbadala wake maana hakuwepo Fraga wala Shiboub
hii ilichangia Gongowazi kupata sare
kingine manula jamani kwani ana nini cha ziada kwani akikaa bechi anakufa mbina hatuelewei jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata KAGERE baada tuu ya refa kunyanganya lile DUDE lilokuwa amevaa Pumzi ilikata kabisa akawa anarukaruka tuu uwanjani hadi alipotolewaNilishangaa kutokumuona Gerson Fraga katika First Eleven pia hakuwepo katika bench la wachezaji wa akiba mkude alikata pumzi mapema kipindi cha kwanza na nje hakukuwa na mbadala wake maana hakuwepo Fraga wala Shiboub
hii ilichangia Gongowazi kupata sare
kingine manula jamani kwani ana nini cha ziada kwani akikaa bechi anakufa mbina hatuelewei jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe acha ujinga ile mbona ilikuwa cheni tu ya kawaida na ilikuwa na msalaba wa Yesu!?? Mbona mnapenda kuthibitisha jinsi mlivyo wajinga!??Hata KAGERE baada tuu ya refa kunyanganya lile DUDE lilokuwa amevaa Pumzi ilikata kabisa akawa anarukaruka tuu uwanjani hadi alipotolewa
Mohamed Kagere ,kifupi MEHD KAGERENa wewe acha ujinga ile mbona ilikuwa cheni tu ya kawaida na ilikuwa na msalaba wa Yesu!?? Mbona mnapenda kuthibitisha jinsi mlivyo wajinga!??
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaaa ikivaliwa Simba inakua Cheni.....Na wewe acha ujinga ile mbona ilikuwa cheni tu ya kawaida na ilikuwa na msalaba wa Yesu!?? Mbona mnapenda kuthibitisha jinsi mlivyo wajinga!??
Sent using Jamii Forums mobile app
Manula analaumiwa kwa kuto jua kwann anafungwa sana mashuti ya nje ya 18Hv Manula unamlaumu vp kwa mgoli kama ule wa Balama, mtu katungua kutoka bunju had mbagala na imo.Au mlitaka avunjike mbavu
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe acha ujinga ile mbona ilikuwa cheni tu ya kawaida na ilikuwa na msalaba wa Yesu!?? Mbona mnapenda kuthibitisha jinsi mlivyo wajinga!??
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe inakuuma nini mkuu, kagere baada ya kunyang'anywa hirizi alikua anarukaruka kama mzimu.Na wewe acha ujinga ile mbona ilikuwa cheni tu ya kawaida na ilikuwa na msalaba wa Yesu!?? Mbona mnapenda kuthibitisha jinsi mlivyo wajinga!??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kagere ni muislam anaanzaje kuvaa cheni yenye msalaba wa Yesu? Btw mimi ni shabiki wa Simba ila
🧠Wabongo tunaamini sana GIZA kuliko MWANGA
Mshahara tulipe na kucheza wacheze wao, sisi kuongea inawauma nini?Maxmo aliwai sema: TANZANIA NDIYO NCHI YENYE MAKOCHA WENGI DUNIA KULIKO NCHI NYINGINE .
INAMAKOCHA 54 M(KWA WAKATI HUO).
HILO ILIKUWA NA MAANA KWAMBA KILA MTANZANIA NI KOCHA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hawakukaguliwa kabla ya kuingia uwanjani?Na wewe acha ujinga ile mbona ilikuwa cheni tu ya kawaida na ilikuwa na msalaba wa Yesu!?? Mbona mnapenda kuthibitisha jinsi mlivyo wajinga!??
Sent using Jamii Forums mobile app