kaka yuke mbrazil hana mbwembwe nyingi lakini anakata umeme vibaya mnoMkude kiwango kimeshuka sana....ingawa kuna baadhi ya watu bado wanaimani nae..lakini ukweli ndio huo...na Ndio maana kipindi cha kotei alikuwa hatii mguu...hata kwenye Timu ya bara Uganda alicheza hovyo kabisa...Simba itafute kiungo mkabaji mwenye kiwango cha juu zaidi ya hata alivyokuwa kotei...Chama na Manula naomba tuendelee kuwafatilia.
vipi goli la piliHv Manula unamlaumu vp kwa mgoli kama ule wa Balama, mtu katungua kutoka bunju had mbagala na imo.Au mlitaka avunjike mbavu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe Meddie Kagere ni mkristo me nilikuwa najua ni muislam.Na wewe acha ujinga ile mbona ilikuwa cheni tu ya kawaida na ilikuwa na msalaba wa Yesu!?? Mbona mnapenda kuthibitisha jinsi mlivyo wajinga!??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kufungwa goli chache ni kwa sababu ya ubora wa Simba, Manula anafungwa magoli ya kitoto sana acha ubishi.Hivi kuna timu iliyofungwa goli chache msimu huu zaidi ya Simba?! Ulitaka Manula afanyaje kuokoa zile goli?!
Kwahiyo haruhusiwi kuwa na Rosary.Mohamed Kagere ,kifupi MEHD KAGERE
Mkuu wa we Ni Hadji Manara nini?.Mshahara tulipe na kucheza wacheze wao, sisi kuongea inawauma nini?
Misalaba mpaka akina Diamond wanavaa, na kwa taarifa yako yule anayeonekana kwenye ule msalaba sio YESU, nani alimpiga picha YESU more than 2000 years ago, camera zilikuwepo? acheni ulofa nyie.Kagere ni muislam anaanzaje kuvaa cheni yenye msalaba wa Yesu? Btw mimi ni shabiki wa Simba ila hapa unapuyanga
Kwanza asingemruhusu mfungaji wa goli la kwanza kupiga shuti, lazima angeenda nae mzima mzima.kaka yuke mbrazil hana mbwembwe nyingi lakini anakata umeme vibaya mno
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! Mzamiru alimsindikiza Balama mpaka akafunga. Wakati alitakiwa kufanya chochote ili kumzuia.Kwanza asingemruhusu mfungaji wa goli la kwanza kupiga shuti, lazima angeenda nae mzima mzima.
Halafu wabrazil wote wanaujua mpira wa kihuni, wa nguvu, si ulimuona Tairon alivyomdhibiti Nchimbi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tutakuamini vipi ni cheni leta ushauhidi hapa.Na wewe acha ujinga ile mbona ilikuwa cheni tu ya kawaida na ilikuwa na msalaba wa Yesu!?? Mbona mnapenda kuthibitisha jinsi mlivyo wajinga!??
Sent using Jamii Forums mobile app
Tutakuamini vipi ni cheni leta ushauhidi hapa.Na wewe acha ujinga ile mbona ilikuwa cheni tu ya kawaida na ilikuwa na msalaba wa Yesu!?? Mbona mnapenda kuthibitisha jinsi mlivyo wajinga!??
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! Mzamiru alimsindikiza Balama mpaka akafunga. Wakati alitakiwa kufanya chochote ili kumzuia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tutakuamini vipi ni cheni leta ushauhidi hapa.Na wewe acha ujinga ile mbona ilikuwa cheni tu ya kawaida na ilikuwa na msalaba wa Yesu!?? Mbona mnapenda kuthibitisha jinsi mlivyo wajinga!??
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! Mzamiru alimsindikiza Balama mpaka akafunga. Wakati alitakiwa kufanya chochote ili kumzuia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujinga alumni inatakiwa usomeMkuu wa we Ni Hadji Manara nini?.
unasound kama mtunza mikoba wa Simba.
Nb: hiyo ni kazi ya KOCHA, na sio kazi yenu.
kama mnaona kuwa mnahaki ya kumpangia kikosi,mlikuwa na Haja gani ya kumpa mkataba?.
na kwanini mtumie pesa mingi kwa kazi amabayo hata wewe mwenyewe unaweza kuifanya?.
MAMBO YASIWE MENGI, MENGI YASIWE MAMBO.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo pale golini mngekuwa na Kindoki au Deogratius Munish mngefungwa hizo goli kisa ubora wa beki yenu?!Kufungwa goli chache ni kwa sababu ya ubora wa Simba, Manula anafungwa magoli ya kitoto sana acha ubishi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza goli la pili kafunga Mohamed Hussein, una habari hiyo? Na alikuwa anapiga kichwa kumrudishia Manula, kilichotokea ni utoto kutoka kwa Manula.Kwa hiyo pale golini mngekuwa na Kindoki au Deogratius Munish mngefungwa hizo goli kisa ubora wa beki yenu?!
Ningependa pia ujibu swali langu ungekuwa wewe ndio Manula zile goli ungeokoa vipi?!
Kwanza asingemruhusu mfungaji wa goli la kwanza kupiga shuti, lazima angeenda nae mzima mzima.
Halafu wabrazil wote wanaujua mpira wa kihuni, wa nguvu, si ulimuona Tairon alivyomdhibiti Nchimbi.
Sent using Jamii Forums mobile app