Ilikuwa kosa Kubwa Kumuacha Gerson Fraga nje

Toka mechi ya jana kuisha kwa sare. Mashabiki wa simba wamewageuka baadhi ya wachezaji. Wanasahau kuwa wachezaji si robots, kuna mda mpiea ubakataa. Hata Messi na miujiza yake kuna mda anakuwa wa kawaida tu mfano mechi na Liverpool UEFA iliyopita. Pia mpinzani naye ana mbinu za kuweza kuzuia. Mpira ni mchezo wa makosa. Tusiwavunje moyo wachezaji. Mm ni shabiki wa Yanga, lkn jana kwa mara ya kwanza ndio nimeona timu ya Yanga inacheza kwa kufuata maelekezo ya mwalimu. So simba wawe na subira. Manara kama msemaji wa timu hakutakiwa kuwavunja moyo zaidi wacjezaji.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza goli la pili kafunga Mohamed Hussein, una habari hiyo? Na alikuwa anapiga kichwa kumrudishia Manula, kilichotokea ni utoto kutoka kwa Manula.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpira wa kumrudishia kipa ndo wanapiga vile kwenye mazingira?! Sio kwamba namtetea mimi ni Simba au vipi ila ukiangalia mazingira ya hilo goli utagundua kosa ni la Tshabalala. Huwezi mrudishia mpira pale kipa tena wakudunda au utegemee usimletee madhara. Ungekuwa umewahi kudaka usingemlaumu kipa kufungwa goli kama lile. Mipira ya kichwa ya kudunda mibaya sana kwa golikipa.
 
Kama unaujua mpira kipa wa chekechea hawezi kufungwa pale, Manula aliudaka kizembe sana na akausukumizia wavuni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah! Mzamiru alimsindikiza Balama mpaka akafunga. Wakati alitakiwa kufanya chochote ili kumzuia.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu hata mimi jana nikamkumbuka James Kotei asingefanya upuuzi kama ule kumuachia aende..no 6 anacheza kumaliza dk 90 bila hata kadi ya njano. Nasikia Fraga alipata injury kwenye mazoezi ya mwisho.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ujinga alumni inatakiwa usome
kabla ya kuandika
Kwanza ninaomba nikiri UJINGA.
nitajaribu kujifunza zaid ili niondokane na tatizo hili la UJINGA.

TUKIRUDI KWENYE MADA..
NI KWANINI MASHIBIKI WA MPIRA WA BONGO MNAPENDA KUINGIRIA MAJUKUMU YA KOCHA?.

WEWE UNASEMA KOSA KUBWA FRANI KAACHWA NJE, KUNA JAMAA YANGU HAPA NAE ANALAUMU KUNA MCHEZAJI MMOJA HIVI WA SIMBA HAKUPEWA NAFASI YA KUCHEZA.
KWA MUJIBU WA MTAZAMO WAKE, IKIWA HUYO JAMAA ANGELICHEZA, SIMBA WANGELIIBUKA KIDEDE KWA HAT TRICK.

Yaan kila shabiki wa Simba anamchezaji wake, na sio Simba tu hata Yanga nalo hali ni ile ile.

sasa kuna haja gani ya kutafuta MAKOCHA nje ya nchi wakati watanzania wajuvi wa mpira mpo?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zunguka kote utakakoweza kufika dunia hii kisha pita Tz uje ujionee nchi pekee duniani ambapo kila mtu ni kocha, mchezaji, injinia, kibarua, dokta, nesi, mwanasiasa, tajiri, mnyonge nk. Yaani kila mtanzania ni kila mtu
 
Mkuu hata mimi jana nikamkumbuka James Kotei asingefanya upuuzi kama ule kumuachia aende..no 6 anacheza kumaliza dk 90 bila hata kadi ya njano. Nasikia Fraga alipata injury kwenye mazoezi ya mwisho.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kweli kamwe Kotei au Fraga wasingefanya upuuzi huo. Yaani Mzamiru alifanya fyongo ya kufungulia mwaka.Sijui hakujifunza hata kwa Yondani aliyemshikiria Kegere ili mradi asifunge goli. Niliona clip siku ya Alhamis Fraga alikuwa anachechemea, nilifikiri si serious injury ya kumfanya akose match.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mtazamo wako nafikiri ipo siku utasema hakuna ya haja ya kuwepo kwa mashabiki wa mpira. Lakini tambua bila mashabiki mchezo husika ni mfu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona Man U wanabadilisha makocha kwa kelele za mashabiki mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
mashabiki wa Ulaya wanamihemko, lakini sio kama mihemko ya mashabiki wa wa Bongo.
Bongo kila shabiki anajua kupanga kikosi, anajua nani acheze mpira wa kati, nani acheze winga.
hayo hayaishii kuwa maoni yao na mtazamo wao tu, bali wanayafanya kama maagizo.
timu ikishinda hata kama Shibuda, Nabii Tito ndio walikuwa washambuliaji, kila mmoja atampa sifa KOCHA.

tatizo ni pale timu inapopoteza MCHEZO, kila mmoja atasema, angeliwekwa Thishimbi awe anamalizia mipira ya kati..
mara oooh.. Mkude ni mtaalamu wa mipira iliyokuwa, so, kama Mkude angelicheza mipira mingi ambayo haikuwa haifiki kwa mlengwa, Mkude angelikuwa anamalizia.
mara ooooh.. ili mradi full ujuaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zunguka kote utakakoweza kufika dunia hii kisha pita Tz uje ujionee nchi pekee duniani ambapo kila mtu ni kocha, mchezaji, injinia, kibarua, dokta, nesi, mwanasiasa, tajiri, mnyonge nk. Yaani kila mtanzania ni kila mtu
Na Kila mtu Ni mtanzania![emoji1787][emoji1787]

kelphin kepph
 
Mkuu wachezaji wa Tz ndivyo walivyo kesho anacheza vizuri,kesho kutwa ziiii ...Mkude ni mfano tu ,unakosea sana au pengine hukufuatilia Challenge Uganda...Mkude alicheza vizuri sana!
Kwa mtu anayefuatilia mpira wa Tanzania hususani Derby ya Kariakoo ,ni ujinga kupima ubora wa Timu au wachezaji kwa kutumia kwa kutumia mechi hii!
 
Mashabiki wote wa mpira duniani wapo hvyo, jaribuni hata kutembelea forum za team za nje utagundua hilo,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…