CleverKING
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 8,502
- 25,470
- Thread starter
-
- #41
Umesahau na Mapera na Maembe kwa chumvi ya pilipili,hakuna kununua maji ya kunywa,tunakunywa yanayotoka kwenye bomba la Shule tu but full Afya hakuna kuugua.Those were the days mihogo ya kukaanga,
Si ndiyo ninashangaa siku hizi tunaambiwa infection control, lotion una pump kiasi cha matumizi yako, wakati tunakuwa kopo la Vaseline mnawekewa kwenye dressing table kila mtu kwa muda wake, hakuna infection wa mapele.Umesahau na Mapera na Maembe kwa chumvi ya pilipili,hakuna kununua maji ya kunywa,tunakunywa yanayotoka kwenye bomba la Shule tu but full Afya hakuna kuugua.
Asante na wewe piaHeshima kwako Mkuu.
Tena unaweka mdomo bombani, maji hata huyaoni, yakitoka bombani ni mdomoni nabmoja kwa moja tumboni. Ukimaliza mwenzio anafuata....Umesahau na Mapera na Maembe kwa chumvi ya pilipili,hakuna kununua maji ya kunywa,tunakunywa yanayotoka kwenye bomba la Shule tu but full Afya hakuna kuugua.
Uko vizuri Mkuu!Hapana mwaka huo hao walikuwa hawajaja. Alikuwapo mtu anaitwa Belesa Kakere. Hao walikuja kunako 1984
kwani miaka hiyo baba yake na bushoke si ndio alikuwa hii bandGery Nashoni
Embe mnang'ata kwa zamu mpaka mnafikia kokwa.Tena unaweka mdomo bombani, maji hata huyaoni, yakitoka bombani ni mdomoni nabmoja kwa moja tumboni. Ukimaliza mwenzio anafuata....
Mtoni unaganya kusukuma majani pembeni unachota maji kwa mikono miwili na kuyanywa hapo hapo
Wakati huo ukijikwaa navkung'oa kucha, cha kwanza unajaza mchanga kwenye kidondaSi ndiyo ninashangaa siku hizi tunaambiwa infection control, lotion una pump kiasi cha matumizi yako, wakati tunakuwa kopo la Vaseline mnawekewa kwenye dressing table kila mtu kwa muda wake, hakuna infection wa mapele.
hahaha, tena nakumbuka embe mbichiEmbe mnang'ata kwa zamu mpaka mnafikia kokwa.
Kitu muwa... ni kwa zamuEmbe mnang'ata kwa zamu mpaka mnafikia kokwa.
Hapo mfukoni una kipande cha gazeri umeviriga chumvi iliyochanganywa na pilipili kichaa na ikasagwa pamojahahaha, tena nakumbuka embe mbichi
Na umeliweka kwenye wanga... mgongoni kuna malinda ya mraba, na mabegani pia....Shati la shule lilikuwa linafuliwa na blue, kulikuwa na salamu "mambo" unajibu "mambo degree".
Wengi humu hakuwepo duniani kipindi hicho.
1. Wengine wameuliza hilo tangazo la ninisababu na ushahidi utanisaidia niielewe hoja yako. Nini kilitokea baada ya 1980s mpaka kifanye wengi wao wasiwemo humu?
1. Wengine wameuliza hilo tangazo la nini
2. Wengine wamesema hawaijui bendi hiyo
3. Wengine maneno wanayoyaandika unajuwa tu hakuwepo
4. wengi wa baada ya 1980s ndo wenye smart phone
Wengi humu hakuwepo duniani kipindi hicho.
Bahati mbaya humu tuna vijana ambao hawakuwahi hata kujua nini ilitosha kugharamia Tsh 5Kiingilio kwa Power Mwanamabula ilikuwa sh 5/= kwa mwanafunzi.
Kwani kutokujua ni dhambi mkuu, au wewe unajua kila kituHajui kama kuna bendi ilikua inaitwa Bima lee