Ilikuwa rahisi kwa CHADEMA kuchukua nchi wakati wa Magufuli, huyu wa sasa amebow kwa mabeberu they will protect her position

Ilikuwa rahisi kwa CHADEMA kuchukua nchi wakati wa Magufuli, huyu wa sasa amebow kwa mabeberu they will protect her position

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Kama alivyokuwa Mobutu Seseko na Rais wengine wa Afrika, Wazungu ukiwapa access na resource zako, ukifanya vyote wanavyotaka kamwe hawatakutoa madarakani, hii ndiyo Afrika ilivyo.

Sie tunajua Magufuli alivyopambana na Mabeberu na kuwapiga pliers kwenye interest zao, hivyo hawakutaka Magu aendelee kukaa madarakani kwani alikuwa against interest zao, sasa sijui kwa nini Chadema walishindwa kutumia hiyo nafasi na mabeberu wangewasaidia kupata nchi kama wangepromise kuprotect interest zao .

Kama Mabeberu wana mkono kwenye awamu hii, basi ni ngumu kwa Chadema kushinda lolote ama kuchukua nchi, kwa kuwa wanachotaka kutoka Tanzania wanapata.

Hata Mbowe na Chadema watafungwa tu and no body will care as long as mabeberu wanapata wanachopata.

Chadema wabadilishe mbinu wasije kuwa wanapambana na very powerful forces, serikali ina siri nyingi sana, Mungu mwenyewe ndo anajua.
 
Kama Alivyokuwa mabutu Seseko na Maraisi wengine Africa, Wazungu ukiwapa accsess na resource zako , ukifanya vyote wanavyotaka kamwe hawatakutoa madarakani ndo Africa ilivyo,

Sie tunajua Magufuli alivyopambana na Mabeberu na kuwapiga pliers kwenye interest zao hivyo hawakutaka Magu aendelee kukaa madarakani kwani alikuwa against interest zao, Sasa sijui kwanini chadema walishindwa kutumia hiyo nafasi na mabeberu wangewasaidia kupata nchi Kama wangepromise kuprotect interest zao .

Kama Mabeberu Wana mkono kwenye awamu hii, basi ni ngumu kwa chadema kushinda lolote ama kuchukua nchi, kwakuwa Wana Chotaka kutoka Tanzania wanapata.

Hata mbowe na chadema watafungwa tu n no body will care as long as mabeberu wanapata wanachopata, chadema wabadilishe mbinu wasije kuwa wanapambana na very powerful forces , serikali Ina Siri nyingi sana, Mungu mwenyewe ndo anajua
Lisu amebaki anatapatapa baada ya kupoteza kete yake ya Magufuli. Hajui aanzie wapi sasa.
 
Hudhani kama katiba ina mchango ktk kubadili mfumo tulio nao sasa?

Lkn pia Chadema ni picha tu kimsingi Watz kwa sasa wakielimishwa vyema wanaweza kubadilika kifikra hivyo shida sio Chadema

Mfano: Sugu alikuwa ndio most voted MP 2015 sio kwamba alichaguliwa na wana Chadema tu bali ni watanzania walio elimishwa na kubadili upepo jumla
 
Hudhani kama katiba ina mchango ktk kubadili mfumo tulio nao sasa?

Lkn pia Chadema ni picha tu kimsingi Watz kwa sasa wakielimishwa vyema wanaweza kubadilika kifikra hivyo shida sio Chadema

Mfano: Sugu alikuwa ndio most voted MP 2015 sio kwamba alichaguliwa na wana Chadema tu bali ni watanzania walio elimishwa na kubadili upepo jumla
Sasa hata ukishinda wanamtangaza mwingine
 
Naomba nianzie kwenye heading
"huyu wa Sasa amebow kwa mabeberu they will protect his position"
Huyu wa sasa nani?, They will protect his or her position?.

Huku ni kuwatukana na kuwadhihaki Watanzania!. Kwani ni mabeberu ndio wanatuchagulia rais wetu?.
Japo Mama ameingia by default, lakini 2025 tunamrejesha rasmi
P
 
Naomba nianzie kwenye heading
"huyu wa Sasa amebow kwa mabeberu they will protect his position"
Huyu wa sasa nani?, They will protect his or her position?.

Huku ni kuwatukana na kuwadhihaki Watanzania!. Kwani ni mabeberu ndio wanatuchagulia rais wetu?.
Japo Mama ameingia by default, lakini 2025 tunamrejesha rasmi
P
Hajaingia by default aise. Ameingia by allowables due to constituonal involvement. It is like during incarnation.
 
Ukweli mtupu huu. Wasahau kabisa na kama una akili kitendo cha Tony blair kupewa kazi kama International Investment advisor basi ni kuingia ubeberuni na kupata kahawa kabisa. Kitu ambacho tukikitumia vizuri kitatusaidia kupata sana mikopo na uwekezaji.
 
Hajaingia by default aise. Ameingia by allowables due to constituonal involvement. It is like during incarnation.
Nimesema Rais Samia ameingia by default, kwa chance tuu na sio kwa choice, kwasababu kifo japo kipo, but no one expected rais anaweza kufa madarakani, hivyo tukio lile ni default only. Mfano JPM angefika 2025, CCM ingemnominate Samia or mwanamke yoyote!. Hivyo ujio wa rais mwanamke kwa Tanzania is just by default only, but now, because hili limewezekana, then, on 2025, sasa ndio tutachangua rais mwanamke by choice not by chance
P
 
Hapa ndio huwa siwaelewi wanaoisema chadema kwamba imeshindwa na ccm au imeshindwa kutwaa madaraka na hivyo wabadili mbinu. Sasa najiuliza mlitaka chadema ifanye nini? Maana njia zote sahihi walitumia zinazoruhusiwa kikatiba mkawauwa na kuwafungulia makesi ya ajabu ajabu. Sasa labda mtuambie je mlitaka chadema i stage qoup d etat? Imagine lissu alikosoa kwa haki mkamchapa 16 bullets mbowe mlishamuandalia mchoro wa kesi ya mchongo toka 2018 sasa mnapowalaumu chadema kwamba walishindwa kutumia nafasi wakati wa magufuli mlitaka chadema wafanye nini?
 
Kama alivyokuwa Mobutu Seseko na rais wengine wa Afrika, Wazungu ukiwapa access na resource zako, ukifanya vyote wanavyotaka kamwe hawatakutoa madarakani, hii ndiyo Afrika ilivyo.

Sie tunajua Magufuli alivyopambana na Mabeberu na kuwapiga pliers kwenye interest zao, hivyo hawakutaka Magu aendelee kukaa madarakani kwani alikuwa against interest zao, sasa sijui kwa nini Chadema walishindwa kutumia hiyo nafasi na mabeberu wangewasaidia kupata nchi kama wangepromise kuprotect interest zao .

Kama Mabeberu wana mkono kwenye awamu hii, basi ni ngumu kwa Chadema kushinda lolote ama kuchukua nchi, kwa kuwa wanachotaka kutoka Tanzania wanapata.

Hata Mbowe na Chadema watafungwa tu and no body will care as long as mabeberu wanapata wanachopata.

Chadema wabadilishe mbinu wasije kuwa wanapambana na very powerful forces, serikali ina siri nyingi sana, Mungu mwenyewe ndo anajua.
Crap!
 
Kama haitoshi serikali nzima chini ya magufuli ilitumia dola na watumishi wa umma kuiba uchaguzi walimu walitishwa tena kwa wazi na watu wa usalama kwenye seminar za kusimamia uchaguzi na magufuli alisema wazi atakaempa ushindi mpinzani atarajie konsekwenses sasa mpaka hapo mlitegemea chadema wafanye ninini?
 
Mnapowalaumu chadema muangalie pia na tanuru walilopitishwa na serikali ya ccm mbona viongozi wa ADA TADEA hawakupigwa risasi au wa UDP ya bwana cheyo?
 
Back
Top Bottom